Kampuni ya basi la Shabiby, hii ni hatari sana kwa abiria wenu


Pole sana mkuu
 
Pole Sana.

Ila wewe bado mshamba wa safari, ukidekezwa ipo siku utaharibu zaidi. Kusindikiza kwako kunaishia nje ya Basi , ndani ni Abiria na Wahudumu wa Basi.

Ulikuwa na uhuru wa kumwagiza hata konda akampe mkeo kisha mkeo akakujulisha iwapo amepata ama lah.

Punguza deko mtoto wa kiume.
 
Kwani kuna mahali ameandika mkewe hakupata ile posho? Anacholalamikia yeye ni kuvutwa vutwa na kukunjwa kunjwa bila kusikilizwa tena mbele ya kadamnasi na mkewe akishuhudia.
 
Hii dongo liende kwa shabiby bus na mabus yote yanayojiita n luxury kwa uhuni wanaofanyia abiria wao siku hizi.

Haya MABUS tunajua n LUXURY hvyo Kuna huduma nzuri pamoja na KIYOYOZI cha ajabu n wajinga wanafungua zile VENT za juu na kuacha abiria wanapigwa na UPEPO Kama wapo kwenye FUSO Yan hata usikivu ndan ya bus inakuwa hakuna mnaohusika mjirekebishe.

Mkiona tunapanda chuma zetu za alinunua Babu mpaka kitukuu wa kitukuu anatumia msituone sie wajinga kwanza tunasave karibu nusu ya pesa ambayo tungewapa hvyo n faida Kwetu pili tunakuwa huru na safari sababu kule wanajua kuwa kabisa wao wanatuhitaji sisi kuliko wao.
 
Ni vidogo hivi ,kama horn,ni
Pole sana mkuu!
Asante sana mkuu
 
Pole sana . Na pole kwa kuendekea kubezwa tena humu ndani.
1. Shabbiby inaweza isiathirike kwa kutopanea familia yako leo lkn ipo siku itaathirika tu, maana kisasi ni chake Mungu atalipa.
2. Ni mazoea ya wengi huwa tunaingia kusindikiza ndugu hii ya kumpiga mtu ni dharau na kuangaliana watu kwa hadhi. Yaani kuwa na speaker kuwaliwaonesha wewe ni hohehahe. Kudharau watu kwa hadhi jambo la kijinga kabisa.

3. Hata kama ulikosea njia ya kukuelimisha haikuwa hiyo, ndio maana tunalaumu polisi kutumia nguvu kubwa kwa raia wenzao. Kumbe na sisi ni washiriki wa unyama na kukosa utu.
4. Ipo siku wamfanyia mwingine namna hiyo halafu atajitoa mhanga maana wengine hata haya maieha hawaoni raha yake bora wafe na mtesi wao, ndipo uzi mwingine utakuja DEREVA AKATWA KOROMEO AKIMZUIA ABIRIA KUSINDIKIZA MKEWE. Tutaanza ku comment kila mtu maoni yake
 
Tatizo sio ofisi ya Shabiby,Nina mlenga dereva

Mimi nine eleza kilicho nikera

Wengine wamenifariji pia wengine wamenidharirisha mtandaoni japo hawanijui mimi ni nani

Dunia ni mzunguko

Usimdharau usiye mjua

Wala usiongee KWA hisia

Kitajulikana
Hatujui wewe ni nani! Wewe si yule uliyejitambulisha unatembea na Ndugai (spika), wewe ni mtu mkubwa sana na mmewekewa kinga ya kushitakiwa.
 
Huyo Kitimoto mawazo yanamsumbua naomba apatiwe matibabu watalaamu wa saikolojia njooni mumsaidie kwabure kabisa vinginevyo mambo yataendelea kuwa sio mambo.

Tafadhali ndugu Kitimoto chukulia hili kama Tiba
 
Wasambaa mtaacha lini kuzunguka na redio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…