DOKEZO Abiria wa Basi la Shabiby tulalamikia huduma mbovu za hoteli Morogoro tunaomba mbadilishe haraka hoteli

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mtumishiwetu

Senior Member
Jul 13, 2022
187
334
Sisi abiria tunaosafiri na Basi la Kampuni ya Shabiby kati ya Dodoma na Dar es Salaam tunayo malalamiko yetu makubwa kutokana na huduma mbovu mjini Morogoro ambapo basi la Shabiby husimama kwa ajili ya huduma ya chakula na kuchimba dawa.

Mazingira ya hoteli hiyo ni machafu sana na hayaendani na hadhi ya basi la Shabiby ambalo abiria tunalipa nauli 30,000 hadi 45,000 Dar- Dom.

Tumelalamika sana kwenye basi hadi inafikia baadhi ya abiria wanashindwa kushuka kupata chakula kutokana na mazingira kutoridhisha na uchafu wa vyoo lakini hatusikilizwi

Tumeona tulete malalamiko hapa tukiamini uongozi wa juu ya Kampuni ya Shabiby utasikia malalamiko yetu maana hakuna box la maoni ya abiria kwenye basi.

Ni Sisi Abiria watiifu wa Kampuni ya Shabiby
Kutoka Dar-Dom
 
Sisi abiria tunaosafiri na Basi la Kampuni ya Shabiby kati ya Dodoma na Dar es Salaam tunayo malalamiko yetu makubwa kutokana na huduma mbovu mjini Morogoro ambapo basi la Shabiby husimama kwa ajili ya huduma ya chakula na kuchimba dawa.

Mazingira ya hoteli hiyo ni machafu sana na hayaendani na hadhi ya basi la Shabiby ambalo abiria tunalipa nauli 30,000 hadi 45,000 Dar- Dom.

Tumelalamika sana kwenye basi hadi inafikia baadhi ya abiria wanashindwa kushuka kupata chakula kutokana na mazingira kutoridhisha na uchafu wa vyoo lakini hatusikilizwi

Tumeona tulete malalamiko hapa tukiamini uongozi wa juu ya Kampuni ya Shabiby utasikia malalamiko yetu maana hakuna box la maoni ya abiria kwenye basi.

Ni Sisi Abiria watiifu wa Kampuni ya Shabiby
Kutoka Dar-Dom
Jaribu mtoa huduma mwingine. Kuna ABC wana hotel yao safi kabisa.
 
Sisi abiria tunaosafiri na Basi la Kampuni ya Shabiby kati ya Dodoma na Dar es Salaam tunayo malalamiko yetu makubwa kutokana na huduma mbovu mjini Morogoro ambapo basi la Shabiby husimama kwa ajili ya huduma ya chakula na kuchimba dawa.

Mazingira ya hoteli hiyo ni machafu sana na hayaendani na hadhi ya basi la Shabiby ambalo abiria tunalipa nauli 30,000 hadi 45,000 Dar- Dom.

Tumelalamika sana kwenye basi hadi inafikia baadhi ya abiria wanashindwa kushuka kupata chakula kutokana na mazingira kutoridhisha na uchafu wa vyoo lakini hatusikilizwi

Tumeona tulete malalamiko hapa tukiamini uongozi wa juu ya Kampuni ya Shabiby utasikia malalamiko yetu maana hakuna box la maoni ya abiria kwenye basi.

Ni Sisi Abiria watiifu wa Kampuni ya Shabiby
Kutoka Dar-Dom
Ni hotel gani, sema tukusaidie wenye Mamlaka
 
Hii call imuamshe ndugu Ahmed Shabiby.

Tatizo posho wanazopewa hawa madereva na hizo hotel.

Ifike mahali wamiliki wa mabasi wa own end to end safari za magari yao.

Binafsi nawaoongeza ABC pale cate hotels ni moja ya sehemu nzuri.

Sema nao sasa wanachakula hovyo kupindukia.

Sehemu pekee iliyokaa kibabe kati ya Moro Dar, abood wanapopitisha abiria kuchimba dawa, jamaa pale wanatoa huduma classic mno. Nyama choma,kuku choma, mishkaki. Chipsi n.k kila kitu kimenyooka.
 
Watanzania na Watu weusi kwa ujumla pamoja na Wahindi ni WACHAFU WA MAZINGIRA na Waharibifu wa vitu vizuri ilihali hawawezi kubuni na kuunda vitu hivyo

Mfano hivi vifaa vyote vya chooni, masinki, na miundo mbinu yaani wanajua tu kuharibu
 
Si mbadilishe basi mtumie lingine
Mbona kama mnakuwa watumwa

Ova
Ahamie wapi mkuu 😆 😆 , Nikajua Shabiby ndo ana afadhali kumbe naye tabu tupu.

Katika abiria wa ajabu nchi hii ni abiria wa Moro, ndo maana hata wenye mabasi wanawachukulia poa tu.

Point zao za mabasi makubwa utazikuta vichochoroni, masheli, sokoni, nk.

Wewe angalia tu abiria wa Abood hapo Ubungo ya zamani wanapakilia wapi abiria ndio utachoka, na abiria wanaona sawa tu. Abiria wao wanapakiliwa sheli tena viti vyao ni maviroba, mawe na vumbi
 
Hii pia nimewahi kuona
Basi zuri huduma nzuri ila Mheshimiwa Shabiby hawa madreva wako wanapeleka basi kusimama kwenye hoteli chafu chafu za hovyo zisizoendana na heshima ya gari zako pale msamvu kwa nyuma kwenye magesti .Okoa jahazi!
 
Sisi abiria tunaosafiri na Basi la Kampuni ya Shabiby kati ya Dodoma na Dar es Salaam tunayo malalamiko yetu makubwa kutokana na huduma mbovu mjini Morogoro ambapo basi la Shabiby husimama kwa ajili ya huduma ya chakula na kuchimba dawa.

Mazingira ya hoteli hiyo ni machafu sana na hayaendani na hadhi ya basi la Shabiby ambalo abiria tunalipa nauli 30,000 hadi 45,000 Dar- Dom.

Tumelalamika sana kwenye basi hadi inafikia baadhi ya abiria wanashindwa kushuka kupata chakula kutokana na mazingira kutoridhisha na uchafu wa vyoo lakini hatusikilizwi

Tumeona tulete malalamiko hapa tukiamini uongozi wa juu ya Kampuni ya Shabiby utasikia malalamiko yetu maana hakuna box la maoni ya abiria kwenye basi.

Ni Sisi Abiria watiifu wa Kampuni ya Shabiby
Kutoka Dar-Dom
Abiria mtiifu?
Umelogwa?
 
Panda ABC ndugu, sehemu ya chakula na sehemu ya haja ni safi kabisa. Vyoo vyenye hadhi na heshima. Basi huduma nzuri. Shabiby huduma ni hovyo na wanaposimama ni pachafu. Ukienda Ofisini kwa Shabiby customer care ni hovyo kabisa. Nenda pale ABC utafurahia huduma zao kuanzia ofisini kwao, safarini hadi hotelini.

Shabiby ana mabasi mazuri na watoa huduma wa ndani ya basi wana kauli nzuri. Lkn pale ofisini dodoma customer care yao ni hovyo, pia mahali wanaposimama kwa ajili ya chakula na haja kwakweli hapaendani na hadhi ya basi lenyewe. Vyoo ni vichafu na mazingira ni ya hovyo hovyo tu
 
Back
Top Bottom