Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

wewe juha kweli kweli, sasa nitume barua kwako kwa reference ipi? Inaonekana hata hujui kazi inavyoombwa. Unapoomba kazi lazima ueleze ni kazi ipi unaomba na kwa reference gani (tangazo au cold call), sasa unataka mtu atume barua kwako kwa heading ipi!

Naomba kazi yoyote, naomba unitafutie kazi au aandikeje? (***** we)

haya ngoja niombe:

Dear sir,

apulikesheni for jobu me and my waif to you.

pliz give me job sir. I em very gud in diskavaring pipo who are styupid inaf to sink they kan con pipo in jf. If zat job is hev you, pliz give tu me.

Am veri hepi that yu give me. Sank you sir from nevada.
Amen!

Yua faithfool,

joji jemsi

hivi na wewe umekosa kazi au mbona unaoknekana unajibishana nao sana au na wewe unatafuta umashuhuri hapa??katafute kazi ufanye wewe achana nao hao wenyewe hawakujibu wewe unajiongelesha tuu kama taahira ,unaboa bana
 
Ndio maana naipenda JF maana hoja za namna hii hazifai hata kidogo hawa ni matapeli ni sawa na wale wa pale cnza big born kwa nyuma wanatuma sms hovyo hovyo kwa watu. Bila kuwafahamu harafu wanakuelekeza ofisini kwao ukifika wanakubebesha viti ukauze mtaani duh duniani kuna mambo!

Jamani wala msihangaike kujibishana na hawa wanaonaojiita wanatafutia watu kazi. Npo jirani na hii plot 54 Ursino hiyo sehemu hamna hata mtu kulikuwa na kampuni ya kuuza wine walishahama sasa kuna mafundi wanafanya ukarabati. nashanga jamaa wanasema kuna watu 50 wamefika ofisini kwao leo na wanawa interview hamna kitu.
 
Jamani wala msihangaike kujibishana na hawa wanaonaojiita wanatafutia watu kazi. Npo jirani na hii plot 54 Ursino hiyo sehemu hamna hata mtu kulikuwa na kampuni ya kuuza wine walishahama sasa kuna mafundi wanafanya ukarabati. nashanga jamaa wanasema kuna watu 50 wamefika ofisini kwao leo na wanawa interview hamna kitu.

ACHA UONGO WEWE SISI TUPO HAPA NI KWELI WALIKUWA WANAUZA WINE HAPA LAKINI WAUZA WINE WAMEHAMIA MBEZI BEACH NA SASA SISI NDIO TUPO HAPA HAO MAFUNDI WAMESHAMALIZA KAZI NA SASA SISI NDIO TUMEOCUPY SINCE MARCH KAMA UKO HAPA NJOO HUKU NDANI ULIZA PELAZ NA CAROLINE

HAPA NJE KUNA WATU ZAIDI YA 30 WANASUBIRI KUWA INTERVIWED WEWE UNAZUNGUMZIA URSINO YA MUSOMA NINI???

karibu ndani kama uko hapa
 
ACHA UONGO WEWE SISI TUPO HAPA NI KWELI WALIKUWA WANAUZA WINE HAPA LAKINI WAUZA WINE WAMEHAMIA MBEZI BEACH NA SASA SISI NDIO TUPO HAPA HAO MAFUNDI WAMESHAMALIZA KAZI NA SASA SISI NDIO TUMEOCUPY SINCE MARCH KAMA UKO HAPA NJOO HUKU NDANI ULIZA PELAZ NA CAROLINE

HAPA NJE KUNA WATU ZAIDI YA 30 WANASUBIRI KUWA INTERVIWED WEWE UNAZUNGUMZIA URSINO YA MUSOMA NINI???

karibu ndani kama uko hapa

Wewe ndio muongo hapao nje hamna hata mtu mmoja mafundi bado wanakarabati na bado kuna kibao cha wauza wine hapo mimi nipo hapa namba 58 njoo kama kweli
 
Wewe ndio muongo hapao nje hamna hata mtu mmoja mafundi bado wanakarabati na bado kuna kibao cha wauza wine hapo mimi nipo hapa namba 58 njoo kama kweli

OK WACHA NITOKE NJE ILA 58 NAFIKIRI NI KULE ADDIS IN DAR AU??NJOO HAPA 54 PLEASE JINA LAKO NI NANI TENA WEKA NAMBA YAKO YA SIMU HAPA

AU TEMBELEA WWW.PATAKAZI.NET
 
hivi na wewe umekosa kazi au mbona unaoknekana unajibishana nao sana au na wewe unatafuta umashuhuri hapa??katafute kazi ufanye wewe achana nao hao wenyewe hawakujibu wewe unajiongelesha tuu kama taahira ,unaboa bana

I didn't know they are charging you to read my comments. Well then, what do you care?

This means huna kazi na ndio maana unafuatilia kila ninachoandika au unanitaka kimapenzi. Well, nimeoa mama
 
Huyo jamaa aliesema anaifahamu hii kampuni hata jinas lake amejiita mikataba feki.hadi hapo unataka nini vha kujua ili uelewe lwao ni moja.wezi wakubwa siku hizi wanatumia akili bu hapa wamekutana na great thinkers .
 
Wewe JUHA kweli kweli, sasa nitume barua kwako kwa reference ipi? Inaonekana hata hujui kazi inavyoombwa. Unapoomba kazi lazima ueleze ni kazi ipi unaomba na kwa reference gani (tangazo au cold call), sasa unataka mtu atume barua kwako kwa heading ipi!

NAOMBA KAZI YOYOTE, NAOMBA UNITAFUTIE KAZI au aandikeje? (***** we)

Haya ngoja niombe:

Dear Sir,

Apulikesheni for jobu me and my waif to you.

Pliz give me job sir. I em very gud in diskavaring pipo who are styupid inaf to sink they kan con pipo in JF. If zat job is hev you, pliz give tu me.

am veri hepi that yu give me. Sank you sir from Nevada.
Amen!

yua faithfool,

Joji jemsi

Hahahah.......jf mnamajibu cmchezo
 
TUMA CV YAKO info@patakazi.net

TEMBELEA WEBSITE YETU

www.PataKazi.net


info_48.png
[h=1]The webpage cannot be found[/h]
 
Watanzania njaa zitatuua, acheni wizi kama wa marry kibona na wenzake, mi nadhani hawa jamaa watakuwa na uhusiano wa karibu na Marry KIbona na kazi zake feki za Sudan kusin HUYO ANAYEJIITA SUZAN NDIO MWENYEWE HASA.

HAIBIWI MTU HAPA
 
Haya wale wasaka ajira...kazi kwenu...

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
UTAKUWA UNATUMIA MODEM WEWE NA MODEM IMESIHA HELA MIMI NIKO KWA WEBSITE SASA NAANGALIA OFISI MPYA YA PATAKAZI ILIVYOPANGIKA ,

ACHA UTANI KWA MAMBO YA MSINGi
Acha uhuni,modem gani unazungumzia?acha kuwalisha watu matango pori,usidhani tuna IQ ndogo kama zako,website gani inafanya kazi?hamjielewi
 
Nimekuta mjadala huu umefika mbali lakini swali langu halijajibiwa...!!! Labda tu kwanza nikiri wazi kwamba webiste ya www.patakazi.com kweli ipo na ina-exist! Aidha, nikiri tu kwamba kwenye hiyo website ni kweli job posts zipo...hilo halina ubishi. Lakini, lazima niseme wazi kwamba kuna tofauti kubwa sana, tena sana sawa na mbingu na ardhi kati ya website yenye matangazo ya kazi na watafutiaji watu kazi (Recruitment Agencies). Hata hapa JF, kila uchao kuna matangazo ya kazi kama ilivyo hapo patakazi.com! Hata hivyo, JF hawamtafutii mtu kazi bali wanatumika kama ubao tu wa matangazo. kampuni inayotafutia watu kazi (recruitment agency) lazima watakuwa na client wao, angalau mmoja. Na ndio maana niliiuliza nitajieni CLIENT wenu angalau mmoja aliyepo hapa Tanzania. Tuchukue mfano mdogo tu! Infinity Communication pale Ursino Estate wanatafutia watu kazi na miongoni mwa clients wake ni Tigo na Zantel. Kuna Erolink, nao moja ya client wake ni Vodacom. Kuna nft consultancy; namiongoni mwa clients wake ni Tigo, Ecobank, Total n.k. Kuna Spanco, one of its client ni Airtel. Huwezi kuwa unatafutia watu kazi halafu usiwe na clients wanaokutuma kuwatafutia wafanyakazi.


Hivyo basi, narudia swali lile lile...kama mnatafutia watu kazi, basi tutajieni at least ONE of your POTENTIAL CLIENTS. Kwavile imeonekana hamuaminiki basi njia pekee ni ile ya kutaja clients mnaofanya nao kazi. Kuwa na webiste ambayo ndani yake kuna job posts bado haithibitishi kwamba mnatafutia watu kazi.
 
WAPENDWA WATANZANIA WENZANGU MNAOTAFUTA KAZI KWA UDI NA UVUMBA

SULUHISHO LENU LIMEKUJA SASA ,TUMA CV NA BARUA YAKO patakazi2012@gmail.com,TUTAKUJIBU MARA MOJA N

NA NINAKUHAKIKISHIA UTAPATA AJIRA KIRAHISI SANA BILA KUCHANGIA FHARAMA ZOZOTE

AHSANTENI

George James


Nawashukuru sana kwa kutusaidia watanzania tunaotaabika kutafuta ajira mimi nimewatumia CV yangu kama siku tatu nne hivi zilizopita naamini mtaifanyia kazi na mtanijibu kama nastahili kupata kazi kwenu au la!

Asanteni Sana!
 
Back
Top Bottom