Savanna ni mojawapo ya kampuni zinazofanya vizuri kwa sasa. Tumetumia kampuni kubwa mbili sizitaji ila zinazidiwa na Savanna.
Kama unaishi sehemu ya mbali hata uwaite Zuku, TTCL au nani lazima watachelewa tu. Kutokana na jina la kampuni kutojua hata kuliandika, basi hauko serious na probably unaishi sehemu ngumu kufikika.
Kabla ya kulipia kampuni ya fibre, tazama miundombinu yao kama iko karibu na wewe. Endapo uko mjini kabisa na wote wanakufikia, chukua Savanna.
Ni kawaida ya wabongo kutaka kila kitu kifanye kazi 100% wakati wao wenyewe ni wababaishaji. Mtu umejenga Tandale kwa Tumbo chini ya transformer ya TANESCO wahuni wanachoma chips, unategemea nini umeme usiwe unakata mara kwa mara.