pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,624
- 3,034
Kigumukidumu chama Cha mapinduzi. 💚💛
Kigumukidumu chama Cha mapinduzi. 💚💛
Tigo cha WoteWajiite vovote ila Tigo ni matusi.
Hasara tigo!?..tigo ndiyo kampuni ghali ya simu tzMIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji![]()
Mkuu inahuzunisha sana.MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji![]()
HOME SHOPPING CENTRE walishamiri sana enzi za VASCO DAGAMA; alipoingia JIWE kama Rais kumbadili Kikwete nao wakabadilika na kuitwa jina jipya la GSM!!!!
Duuuh huu uboya sasa...mfanyabiashara mdogo amewekewa tozo kibao kabla hata ya kupata leseni wafanyabiashara wakubwa wanapiga hela wanasepa..Ni kwamba wawekezaji hupewa miaka 5 ya operation bila kulipa kodi then baada ya huo mda ndonhuanza kulipa kodi. Jamaa wanafanya 3 ama 4 years wanauza kwa madai wamepata hasara. Atakayekuja anaaza tena miaka 5 bure kudadeki
Unaweza kuwa na PhD ikawa sio ya hiyo fani na usijue Mkuu au nakosea ukiwa na PhD ya vitunguu lazima ujue mambo ya upasuaji kwa kuwa una PhD tuu..Phd yako umeipataje kama mimi form six tu nalijua hili?
Kama unakula na viongozi na wanakupa mchongo wewe ufanyeje? Honora ni mchongoooooo.Na ,Hiyoo imeéndaa!Wizi mtupu hapo wanabadili jina kukwepa kodi
Kirefu cha tigo tafadhariWajiite vovote ila Tigo ni matusi.
Kwakweli hakuna😀😀😂🙌Who cares
Mwekezaji mpya hupewa likizo ya Kodi Kwa miaka mitano.Hivyo Kila ukibadilisha jina unapata tax exemption ya miaka hiyo mitano.Unakwepaje kodi? Hebu tupe elimu.
Dah! Wao matangazo yao sijui kwanini yanalenga kwenye ngono tu, Hahahaha!Tigo cha Wote
Misemo Tigo sijui nani anawatungia
Cha Asubuhi
Tigo walianzisha wao ,tigo ni kifupi Cha kampuni yao.Sisi ndo tuliona tigo inasikika kama njia ya kimba, tukapabatiza tigo.Hata Kwa mparange imekuwa the same.Dah! Wao matangazo yao sijui kwanini yanalenga kwenye ngono tu, Hahahaha!
Chawote?? Cha asubuhi?Tigo walianzisha wao ,tigo ni kifupi Cha kampuni yao.Sisi ndo tuliona tigo inasikika kama njia ya kimba, tukapabatiza tigo.Hata Kwa mparange imekuwa the same.
Kwa hisani ya RAMIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji![]()