Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,756
- 8,493
Mrejesho huo kwiooUkishasafiri urudi na mrejesho
Mrejesho huo kwiooUkishasafiri urudi na mrejesho
Aiseee hamna aliyesifia dar lux. Ama kweli ukichokwa umechokwa
Mimi naipenda Zuberi &Kisesa kwa sababu bei ni 40 lakini gari ni luxury na huduma ni bora.Basi lolote la bei kubwa ni zuri
Kumbe wanawahi Mkuu, Asee niliwahi panda super Sammy, tulitoka wa mwisho mwisho ubungo lakini yule dere alikuwa ni mjuba hatari yaani alikuwa analaza mshale ki professional huwezi amin tuliwapita wote japo kisbo alionekana kichwa ngumu lakin hakutia dafu asee tulifika saa 5 Mwanza.Panda frester ndugu chuma inaingia 5 kasoro
Hubby kasafir na ally's juzi anasema ni inakimbia vibaya mno ila kama ndo mambo ya roho mkononi sitaki tenaKama unataka bus roho mkononi panda Ally's.(zinakimbia hovyo) Kama unataka usafiri wa kistarabu,DarLux( Tanzanite) is the best.
Mmiliki ni mmoja na ni mkongwe wa game zaidi ya miaka 20 barabarani.Pia akai na gari.Gari iko barabarani wakati huo ipo sokoni Kama ilivyo new force.Mimi naipenda Zuberi &Kisesa kwa sababu bei ni 40 lakini gari ni luxury na huduma ni bora.
Unafutaje uzi wakati watu wenye uhitaji wa usafiri wapo kila sikuKwa tathimmini ya Jumla naona ALLY STAR ameshinda.
Nitachukua hilo
ASANTENI SANA WADAU
Hivi Uzi ukishaisha matumizi unafutwaje??????????????
Kisbo wamepunguzwa kasi na ujio wa vidhibiti mwendo...VTS. Na kuchelewa kwao kuhamia kwenye gari za kichina pia kumewashusha kidogo, zamani kwa bodi zao local wali rely on speed and time keeping. Now, speed imeshikwa na VTS, na ana local body, so hawana soko sana.Yale malori ya kisbo na kibo yameshindwa ligi ya mwanza?? Maana 2019 walikimbiza sana
Wako vizuri kusema ukweliMimi naipenda Zuberi &Kisesa kwa sababu bei ni 40 lakini gari ni luxury na huduma ni bora.
SATCO hana Magari ya Dar - Mwanza
Wakuu nishaurini basi gani ni bora, nina safari ya kutoka Dar to Mwanza wiki ijayo.
Ubora naamaanisha COMFORT, SAFETY, BETTER SERVICES etc
Nitashukuru sana kwa msaada nitakaopatiwa.
Lipo mzee limeanza juzi juzi hapa
Roho mkononiYou are so right about Ally's niliwahi kupanda hili basi kutoka Dar, saa 4 usiku niko Nata Mwanza limeingia la kwanza kabisa.