Kampeni ya Mama Paka ina lengo la kutokomeza mnyama aitwaye paka nchini Zanzibar

Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.

Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.

Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.

Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.

Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Huo ni ukatili mkubwa
 
Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.

Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.

Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.

Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.

Wanyama wana haki ya kuishi, kuzaliana na kufurahia maisha
Wakiisha waje kuimpoti kutoka bara, muhimbili siku hizi hakuna paka?
 
Back
Top Bottom