Kampeni ya kuikataa Vodacom

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watakuja na hasira Kaka
 

Hakima mdee na wewe hamjaelewa kabisa vodacom wamesema nini
 
Cha msingi kuwa makini na mawasiliano yako. Haijalishi unatumia mtandao gani, wakiamua watakupata tu.

Hatima ya amani na usalama wangu siwezi kuiacha mikononi mwa mtandao wowote wa simu.
 
Well said mkuu Mshana Jr .
Wengi wanafuata mkumbo tu bila ya kuelewa.
Mfano hao anaowasema waliomdukua membe wanauwezo wa kudukua hata huko TTCL na Airtel wanakokimbilia!
Ni ishu ya muda tu na kuwa na taarifa wanazozihitaji.
 
Kwa kampuni kubwa kama Vodacom haya ni mapito tu,,wabongo wengi akili za nyumbu,
Mkuu, yes vodacom ni kampuni kubwa kweli. Lakini kwa haya yanayo endelea ama kwa tuhuma wanazo elekezewa, hili litawa athiri pakubwa sana kibiashara.
Na hii ndio moja ya sababu hata wao wameanza kama kujitetea kwa kutoa kauli kadhaa za kuhusiana na wao kufuata sheria za nchi nk
 
Hadi sasa mzee anapata taabu sana kutawala analazimika kudukua kuteka kupiga risasi kuua kufanya chochote kwa hata anayetoa mawazo guru kikatiba lakini hola he akikaa miaka 10 ataua wangapi?
 
Hata Chancellor wa German Angela Merkel alikuwa anadukuliwa, sembuse mie wa Moshono???

Sihami na siogopi kudukuliwa as it is the matter of time. Hata uhamie mtandao wa Cambodia it is the matter of tym, wakikutaka they get u!
 
mshana nakuheshimu sana japo sikujui . nakuheshimu sana mshana. umenifundisha mambo mengi sana. naomba niishi hapa
 
Wana siasa tuu ndio wanaweza kuhama.. ila mazungumzo yangu wanaruhusiwa kuyadukua kila siku.. sija kitu cha siri wala situkani mtu..

Tena wakidukua waniletee maana nataka nihifadhi mazungumzo yangu yote ya simu.
Mkuu, sio mbaya kwa jinsi unavyo litazama hili la mawasiliano kudukuliwa. Lakini kumbuka tu pia kwamba mawasiliano yana hitaji usiri kwa maana ya kwamba sio kila unacho wasiliana lazima kijulikane.
Kwa maana nyepesi niseme tu kwamba hauwezi ona madhara kwasababu tu wakati haujafika
 
Well said mkuu Mshana Jr .
Wengi wanafuata mkumbo tu bila ya kuelewa.
Mfano hao anaowasema waliomdukua membe wanauwezo wa kudukua hata huko TTCL na Airtel wanakokimbilia!
Ni ishu ya muda tu na kuwa na taarifa wanazozihitaji.
Vita ya kibiashara huwa ina mbinu nyingi sana.. Ni nani ambaye anaweza kukubali jambo kama hili? Nasimama na Voda nafahamu walifanya kila linalowezekana kukwepa hiki kitanzi lakini walishikwa pabaya... Sitawaacha
 
Kwenye ulimwengu wa digital hakuna alie salama hata utumie mtandao gani.ukitaka kuwa salama usitumie kifaa simu wala internet.
 
mshana nakuheshimu sana japo sikujui . nakuheshimu sana mshana. umenifundisha mambo mengi sana. naomba niishi hapa
Napokea kwa unyenyekevu... Natambua nimekuudhi lakini ni vema kubalance story... Kila kitu kina pande mbili...
 
Acha kila mtu achague anachotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…