Kampeni ya kuikataa Vodacom

Basi hata jamii forum asingebaki mtu
 
USIVUNJE LINE YA VODA BILA KUKOPA TUWATIE HASARA KWANZA MBWwA HAWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mnapinga ubaya kwa ubaya. Wanafiki tu na wafata mkumbo. Kumbe mnaongozwa na stress za njaa kwa hiyo mmepata pa kupunguzia stress. Halafu mngetuonyesha na transaction zenu tuone namna Voda watakavyopoteza. Nimeona mwenzio mmoja kascreenshot bundle za 5,000 na 10,000 kwa siku 30 analialia kuwa ni wizi, kwamba ni nyingi. Mtangoja sana.
 
Hii kampeni si aliwahi kuileta Lema na Mange na bado nyumbu wakaishia kuwa nyumbu
 
mimi jan anime
Kuna viashiria Voda inatumika vibaya na wanasiasa hivyo ni bora tuachanenayo kabisa!

All in all,kuna uwezekano mkubwa Kabendara alitaka kutekwa.

Mimi jana nimeivunja laini yangu ya voda kwa nyundo. Voda si mtandao upo kwa ajili ya kushirikiana na wahalifu wanaoteka wananchi. Ukimbiwe huo si mtandao.
 
Laini ya Voda nilitupa kabisaa.....
Baada ya kusikia mawasiliano ya watu wanadukuliwa na wote walikiri wanatumia vodacom nikaachana nao kabisaa....

Huutandao sio salama
 

Mkuu vodacom ni kichaka cha majambazi na wahuni kile!! Nilihama vodacom na nitaendelea kuipinga maana wanahusika kuwatesa watanzania... Hawa ni wawekezaji, kwa nini wawe genge la wahuni?? Ingekuwa nchi za mbele ungekuta kesi inaguruma mahakamani na hisa zao zimeporomoka vya kutosha!! Siwezi kutumia voda hata wakinilipia hela ya vocha sipokei. Wapuuzi sana
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Na hii itawezekana kwa kususia kampuni za simu. Viva 😉😎

Tunaonesha displeasure na uonevu!

Ni somekind ya maandamano!

Dhumuni kubwa ni kuwaonesha watawala hatujapendezwa na jambo fulani!

Wapate ujumbe!

Basi!
 
VODACOM ni ya kuogopwa kama ukoma
 
EFM ni radio ya jamii hata Moro haifiki, mashabiki wa Simba wapo nchi nzima na wengine nje ya nchi
 

Halafu punguani mmoja(riporisi) linasema eti amekamatwa kwa kosa lihusulo uhamiaji na kuwa alikataa wito wa barua, hivi kwa akili ya kawaida kabisa ya watu ambao syo wapumbavu kama wale wa ccm tunaweza kuamini huu utumbo wa nguruwe hawa uliooza!!!! Nchi la kifashisti na utawala wa kilusifa.
 

Huu ndio mwanzo wa anguko la Vodacom!

Na ujue hii backclash kutoka kwa wananchi imewauma wamekimbilia kutoa Press Release!

Wananchi tuna nguvu sana!

Na Vodacom nitaichukia daima just like CCM controlled stupid TTCL!

TBC and TCRA included!

Stupid organizations!
 
Vodacom ilitakiwa waombe kibali cha mahakama Kwa maandishi pindi TCRA au mamlaka yeyeto ikitaka taarifa za MTU.Wawe na ushahidi wa copy sio mambo ya kupigiwa tu Simu unaagizwa lete taarifa za Fulani wanatoa,je aliyedukuliwa akiwaburuza mahakamani kudai fidia Kwa kosa kutolinda siri zetu ana kosa? Maana tunapojisajiri Voda tumeingia mkataba na Voda na si mamlaka zingine.Apple waligoma kutoa taarifa za mtuhumiwa hadi walipopata barua za mahakamani kama defense kwao.
 
umeandika upumbavu gani ??na wewe ukitaka kubaki baki kimya kimya.......wadukuzi ni voda tu wengine unawajua wewe na uzwazwa wako!voda ni makaburu warudi kwao Tanzania hatuwataki tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…