Hatua ya Pili ya Kupinga Chenji ya Ununuzi wa Radar isipitie Serikalini!

Zed

JF-Expert Member
Mar 28, 2009
435
255
Wana JF, hatua ya kwanza ya kuandika kwa BAE kupinga fedhaa hizi wasipewe serikali imekua ya mafanikio makubwa, hata wabunge walionde huko wamekiri (soma daily news online): Daily News | Chenge cleared of radar scandal

"Ms Kairuki expressed concern over reports that some Tanzanians have been e-mailing the company, advising it not to refund the money through the government."​

Sasa tunaingia hatua ya pili: Julai terehe 19, 2011, Kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza itakutana kujadili vipi fedha hizi ziwafikie watanzania! Serikali ya Tanzania imepania kupeleka ujumbe wake kabambe huko, tena baada ya kuonyesha dharau kwa kumsafisha Chenge bila kuonyesha ni kamati gani ya bunge ilimhoji Chenge na kueleza alivyopata vijisenti vyake. 1Million $! Badala yake wametaja vidagaa katika ufisadi!(soma dilynews on line):: Daily News | Chenge cleared of radar scandal

Sasa nawaomba wa JF na watanzania wote tuiandikie kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza kupinga fedha hizo kupitia kwa serikali inayokingia kifua mafisadi na tusiyo na imani nayo. Tuombe fedha hizo zipelekwe kwenye asasi ya kiraia za watanzania. Hapa naweka anwani na emails za kamati ya Mehesabu ya Umma ya Bunge la Uingeraze! Tuma ujumbe kupinga kwa moja ya email hizo au hata zote:Aluta Continua!

Committee contact details
Committee of Public Accounts
House of Commons
London SW1P 3JA

Telephone: 020 7219 3274
Fax: 020 7219 2782
Email: pubaccom@parliament.uk

[h=3]Committee staff contact details[/h]Philip Aylett - Clerk of the Committee
Telephone: 020 7219 3273
Email: aylettp@parliament.uk

Lori Verwaerde - Senior Committee Assistant
Telephone: 020 7219 3274
Email:verwaerdel@parliament.uk

Michelle Garratty - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 4099
Email: garrattym@parliament.uk

Ian Blair - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 5708
Email: blairi@parliament.uk

[h=3]Press and Publicity contact details[/h]Alex Paterson - Parliamentary Media Officer
Telephone: 020 7219 1589
Email: patersonalex@parliament.uk

 
Ni wazo zuri lakini ungekuja na design ya ujumbe tutakaotuma ili kuwe na uniformity kama ilivyokuwa last time maana wengine tunaweza kutuma ujumbe kama gazeti la mzalendo mwingine ataandika kifupi No chenji ikawaletea usumbufu wazungu.
 
Hongereani sana Watanzania wenzagu mmefanya kazi kubwa kwa email zenu ingawa unaweza kuona ingekuwa ngumu kwako
kusikika lakini ushindi wetu ni mkubwa na tuna kila sababu za kujivunia katika harakati zetu za mapambano dhidi ya hawa mafisadi
TUMA EMAIL YAKO KWA MAANA NI MUHIMU SANA SANA KWANI NI KAULI HALISI YENYE UTHIBITISHO WA KIMAANDISHI . Kwani
kuna ushahidi kuwa wabunge wetu walipokuwa wakikutana na wawakilishi wa serikali ya british walioneshwa baadhi ya email zetu nyingi
kuthibitisha kuwa kuwa siyo kweli kwamba kila Mtanzania anaunga mkono swala la wao kulipwa pesa kupitia serikalini na kwa wale
waliosikiliza kipindi cha mahojiano ya ZUNGU NA CHEYO kwenye BBC SWAHILI, CHEYO alikiri kuwepo kwa email za watanzania
kuwa zinaathiri zoezi lao kwahiyo ningependa kukupa shime mtanzania mwenzangu popote ulipo mwenye mapenzi na nchi yako
email yako ni muhimu mno kwahiyo tumwage zingine tena kama mwenzetu alivyosema hapo juu na lazima tutashinda kwani sauti
ya wengi ni sauti ya umma.
 
Of course we can take the battle a notch high!! yes we can!! I need some patriotic Tanzanians in UK who are capable to articulate an argument publicly.. will assist them, niandikie hapa chini.
 
  • Thanks
Reactions: Zed
Hongereani sana Watanzania wenzagu mmefanya kazi kubwa kwa email zenu ingawa unaweza kuona ingekuwa ngumu kwako
kusikika lakini ushindi wetu ni mkubwa na tuna kila sababu za kujivunia katika harakati zetu za mapambano dhidi ya hawa mafisadi
TUMA EMAIL YAKO KWA MAANA NI MUHIMU SANA SANA KWANI NI KAULI HALISI YENYE UTHIBITISHO WA KIMAANDISHI . Kwani
kuna ushahidi kuwa wabunge wetu walipokuwa wakikutana na wawakilishi wa serikali ya british walioneshwa baadhi ya email zetu nyingi
kuthibitisha kuwa kuwa siyo kweli kwamba kila Mtanzania anaunga mkono swala la wao kulipwa pesa kupitia serikalini na kwa wale
waliosikiliza kipindi cha mahojiano ya ZUNGU NA CHEYO kwenye BBC SWAHILI, CHEYO alikiri kuwepo kwa email za watanzania
kuwa zinaathiri zoezi lao kwahiyo ningependa kukupa shime mtanzania mwenzangu popote ulipo mwenye mapenzi na nchi yako
email yako ni muhimu mno kwahiyo tumwage zingine tena kama mwenzetu alivyosema hapo juu na lazima tutashinda kwani sauti
ya wengi ni sauti ya umma.
Tupeni basi draft au kila mtu anaandika anavyojua.
 
  • Thanks
Reactions: Zed
Of course we can take the battle a notch high!! yes we can!! I need some patriotic Tanzanians in UK who are capable to articulate an argument publicly.. will assist them, niandikie hapa chini.
MMKJ unaweza kudraft maneno at least ya sentensi mbili ili ujumbe uwe uniform.
 
Wana JF, hatua ya kwanza ya kuandika kwa BAE kupinga fedhaa hizi wasipewe serikali imekua ya mafanikio makubwa, hata wabunge walionde huko wamekiri (soma daily news online): Daily News | Chenge cleared of radar scandal
"Ms Kairuki expressed concern over reports that some Tanzanians have been e-mailing the company, advising it not to refund the money through the government."​
Sasa tunaingia hatua ya pili: Julai terehe 19, 2011, Kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza itakutana kujadili vipi fedha hizi ziwafikie watanzania! Serikali ya Tanzania imepania kupeleka ujumbe wake kabambe huko, tena baada ya kuonyesha dharau kwa kumsafisha Chenge bila kuonyesha ni kamati gani ya bunge ilimhoji Chenge na kueleza alivyopata vijisenti vyake. 1Million $! Badala yake wametaja vidagaa katika ufisadi!(soma dilynews on line):: Daily News | Chenge cleared of radar scandalSasa nawaomba wa JF na watanzania wote tuiandikie kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza kupinga fedha hizo kupitia kwa serikali inayokingia kifua mafisadi na tusiyo na imani nayo. Tuombe fedha hizo zipelekwe kwenye asasi ya kiraia za watanzania. Hapa naweka anwani na emails za kamati ya Mehesabu ya Umma ya Bunge la Uingeraze! Tuma ujumbe kupinga kwa moja ya email hizo au hata zote:Aluta Continua! Committee contact detailsCommittee of Public AccountsHouse of CommonsLondon SW1P 3JATelephone: 020 7219 3274Fax: 020 7219 2782Email: pubaccom@parliament.uk[h=3]Committee staff contact details[/h]Philip Aylett - Clerk of the CommitteeTelephone: 020 7219 3273Email: aylettp@parliament.ukLori Verwaerde - Senior Committee AssistantTelephone: 020 7219 3274Email:verwaerdel@parliament.ukMichelle Garratty - Committee AssistantTelephone: 020 7219 4099Email: garrattym@parliament.ukIan Blair - Committee AssistantTelephone: 020 7219 5708Email: blairi@parliament.uk[h=3]Press and Publicity contact details[/h]Alex Paterson - Parliamentary Media OfficerTelephone: 020 7219 1589Email: patersonalex@parliament.uk [/My country first, it doest matter when its wrong or right
 
Back
Top Bottom