Zed
JF-Expert Member
- Mar 28, 2009
- 435
- 255
Wana JF, hatua ya kwanza ya kuandika kwa BAE kupinga fedhaa hizi wasipewe serikali imekua ya mafanikio makubwa, hata wabunge walionde huko wamekiri (soma daily news online): Daily News | Chenge cleared of radar scandal
"Ms Kairuki expressed concern over reports that some Tanzanians have been e-mailing the company, advising it not to refund the money through the government."
Sasa tunaingia hatua ya pili: Julai terehe 19, 2011, Kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza itakutana kujadili vipi fedha hizi ziwafikie watanzania! Serikali ya Tanzania imepania kupeleka ujumbe wake kabambe huko, tena baada ya kuonyesha dharau kwa kumsafisha Chenge bila kuonyesha ni kamati gani ya bunge ilimhoji Chenge na kueleza alivyopata vijisenti vyake. 1Million $! Badala yake wametaja vidagaa katika ufisadi!(soma dilynews on line):: Daily News | Chenge cleared of radar scandal
Sasa nawaomba wa JF na watanzania wote tuiandikie kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza kupinga fedha hizo kupitia kwa serikali inayokingia kifua mafisadi na tusiyo na imani nayo. Tuombe fedha hizo zipelekwe kwenye asasi ya kiraia za watanzania. Hapa naweka anwani na emails za kamati ya Mehesabu ya Umma ya Bunge la Uingeraze! Tuma ujumbe kupinga kwa moja ya email hizo au hata zote:Aluta Continua!
Committee contact details
Committee of Public Accounts
House of Commons
London SW1P 3JA
Telephone: 020 7219 3274
Fax: 020 7219 2782
Email: pubaccom@parliament.uk
[h=3]Committee staff contact details[/h]Philip Aylett - Clerk of the Committee
Telephone: 020 7219 3273
Email: aylettp@parliament.uk
Lori Verwaerde - Senior Committee Assistant
Telephone: 020 7219 3274
Email:verwaerdel@parliament.uk
Michelle Garratty - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 4099
Email: garrattym@parliament.uk
Ian Blair - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 5708
Email: blairi@parliament.uk
[h=3]Press and Publicity contact details[/h]Alex Paterson - Parliamentary Media Officer
Telephone: 020 7219 1589
Email: patersonalex@parliament.uk
"Ms Kairuki expressed concern over reports that some Tanzanians have been e-mailing the company, advising it not to refund the money through the government."
Sasa tunaingia hatua ya pili: Julai terehe 19, 2011, Kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza itakutana kujadili vipi fedha hizi ziwafikie watanzania! Serikali ya Tanzania imepania kupeleka ujumbe wake kabambe huko, tena baada ya kuonyesha dharau kwa kumsafisha Chenge bila kuonyesha ni kamati gani ya bunge ilimhoji Chenge na kueleza alivyopata vijisenti vyake. 1Million $! Badala yake wametaja vidagaa katika ufisadi!(soma dilynews on line):: Daily News | Chenge cleared of radar scandal
Sasa nawaomba wa JF na watanzania wote tuiandikie kamati ya Mahesabu ya Umma ya Bunge la Uingereza kupinga fedha hizo kupitia kwa serikali inayokingia kifua mafisadi na tusiyo na imani nayo. Tuombe fedha hizo zipelekwe kwenye asasi ya kiraia za watanzania. Hapa naweka anwani na emails za kamati ya Mehesabu ya Umma ya Bunge la Uingeraze! Tuma ujumbe kupinga kwa moja ya email hizo au hata zote:Aluta Continua!
Committee contact details
Committee of Public Accounts
House of Commons
London SW1P 3JA
Telephone: 020 7219 3274
Fax: 020 7219 2782
Email: pubaccom@parliament.uk
[h=3]Committee staff contact details[/h]Philip Aylett - Clerk of the Committee
Telephone: 020 7219 3273
Email: aylettp@parliament.uk
Lori Verwaerde - Senior Committee Assistant
Telephone: 020 7219 3274
Email:verwaerdel@parliament.uk
Michelle Garratty - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 4099
Email: garrattym@parliament.uk
Ian Blair - Committee Assistant
Telephone: 020 7219 5708
Email: blairi@parliament.uk
[h=3]Press and Publicity contact details[/h]Alex Paterson - Parliamentary Media Officer
Telephone: 020 7219 1589
Email: patersonalex@parliament.uk