Zed
JF-Expert Member
- Mar 28, 2009
- 435
- 257
WanaJF tuache kulalamika tuchukue hatua! Fedha za radar serikali inazotaka irudishiwe ni dhuluma tupu! Tuandike emails, sms , piga simu hata kwa kiswahili kupinga serikali isipewe fedha ilizoitoa kwa ufisadi. Hapa nimeweka anwani za BAE wanashughulikia namna fedha hizo zinaweza kurejeshwa kwa wananchi wa Tanzania ili ziwanufaishe. Andika kwa mfano: Mimi ni mtanzania napinga sina imani na serikali kufanya matumizi bora tafadhali fedha hizi zirudishiwe umma kupitia NGOs
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Leonie.foster@baesystems.com
Kama hujaona hii thread tafadhali bofya hii link hapo chini. Lengo letu ni mmoja:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-not-return-radar-money-to-tz-government.html
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Leonie.foster@baesystems.com
Kama hujaona hii thread tafadhali bofya hii link hapo chini. Lengo letu ni mmoja:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-not-return-radar-money-to-tz-government.html