maskini watanzania, hoja hii naona imekosa nguvu kwa sababu huyo Mwanasheria wa BAE Systems baada ya kubanwa na timu ya Wagunge Makini imebidi akubali yaishe kwamba pesa lazima zipite serikalini maana manyago waliyafanya BAE. Kwa taarifa yenu suala hili limekwisha. Nimeambiwa sasa BAE System hawana jeuri ya kufanya hayo munayoyataka wafanye. Nimeamini Membe akiamua kufanya kitu anaweza kufanya kwa umakini mkubwa. Wengi wetu tuliona suala la kutuma wabunge London ni gharama lakini sasa limezaa matunda. Naskikitika kwamba watanzania wamekosa uzalendo kwa kiasi hicho.
acha propaganda za kukatisha watu tamaa
na wewe tuma email inayotaka BAE wapeleke pesa serikalini