imeshaundwa advisory board to determine the use of a proposed compensation to Tanzania from BAE System
a statement from said that the board will be chaired by Lord Cairns and Filippa Foster deputy chairman
Lord Cairns is the current Board member of the MO Ibrahim foundation
In recognition of the duty Lord Cairns said "i welcome the opportunity to chair the advisory board.It provides us with great opportunity to deploy this substantial fund in a way that will provide substantial benefit as Tanzania advances down the path to full development"
mimi nimetumaemail tutume pia kwa wale wanaochangia bajet yetu wasitoke hela zao mbaka serikal itakapokuwa imeondoa matumiz yaso lazima kama alivyonena wazir mkuu kamil Mbowe,CDM IPO JUU
unajifanya patriotic sana, mbona huulizi waliotuingiza kwenye choo hichi cha kike wamechukuliwa hatua gan?! Hivi mtu unawezaje kutetea serikal ambayo haina uchungu wa rasilimal zake. Achoka kabisa!HUU NI USALITILETS SUPPORT THE GOVERNMENT FOR THE MOVE, PESA IRUDI SERIKALINI ILI KUKIDHI MIPANGO ENDELEVU ILYOAINISHWA YA MATUMIZI YA PESA HIZO....Tuipende nchi yetu kwa vitendo, THIS is not PARTY ISSUE, ni ishu ya watanzania kwa ujumla wao
We are writing to the advisory board.
Mimi nimeshatuma SMS na email wewe je? Tuma email au sms zote zinapokelewa vizuri tu!
Lindsay Walls, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383074 Mob: +44 (0)7793427582
Lindsay.walls@baesystems.com
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
HUU NI USALITI
LETS SUPPORT THE GOVERNMENT FOR THE MOVE, PESA IRUDI SERIKALINI ILI KUKIDHI MIPANGO ENDELEVU ILYOAINISHWA YA MATUMIZI YA PESA HIZO....
Tuipende nchi yetu kwa vitendo, THIS is not PARTY ISSUE, ni ishu ya watanzania kwa ujumla wao
WanaJF tuache kulalamika tuchukue hatua! Fedha za radar serikali inazotaka irudishiwe ni dhuluma tupu! Tuandike emails, sms , piga simu hata kwa kiswahili kupinga serikali isipewe fedha ilizoitoa kwa ufisadi. Hapa nimeweka anwani za BAE wanashughulikia namna fedha hizo zinaweza kurejeshwa kwa wananchi wa Tanzania ili ziwanufaishe. Andika kwa mfano: Mimi ni mtanzania napinga sina imani na serikali kufanya matumizi bora tafadhali fedha hizi zirudishiwe umma kupitia NGOs
Lindsay Walls, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383074 Mob: +44 (0)7793427582
Lindsay.walls@baesystems.com
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Swadakta. Ndio maana pesa zisirudi serikalini kwani serikali ya CCM itazichakachua. By the way, zile pesa zilizorudishwa na wezi wa EPA zimetumikaje vile? Mbona hazionekani kwenye vitabu?
I am afraid, this may be an exercise in futility and sheer waste of time and resources. Your attempt is devoid of any justification and no body, worth their names will ever take you seriously. Are you talking about NGOs which are outlets of fleecing? You are jocking! The money ought to go to where it came from i.e. the exchequer. If you want a debate on how it should be spent, then that is arguable. But your proposition falls short of a prudent thinking.
WanaJF tuache kulalamika tuchukue hatua! Fedha za radar serikali inazotaka irudishiwe ni dhuluma tupu! Tuandike emails, sms , piga simu hata kwa kiswahili kupinga serikali isipewe fedha ilizoitoa kwa ufisadi. Hapa nimeweka anwani za BAE wanashughulikia namna fedha hizo zinaweza kurejeshwa kwa wananchi wa Tanzania ili ziwanufaishe. Andika kwa mfano: Mimi ni mtanzania napinga sina imani na serikali kufanya matumizi bora tafadhali fedha hizi zirudishiwe umma kupitia NGOs
Lindsay Walls, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383074 Mob: +44 (0)7793427582
Lindsay.walls@baesystems.com
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Thank you napiga in ten mins washenzi hawa!
Vitabu gani? Take a bold effort to trace it before you start hurling baseless accusations. Go to TIB and get what you need.
utujuze ukifanikiwa kupata maelezo yeyote, simu zetu hazima mafuta