Kampeni dhidi ya Mkapa asishinde Tuzo ya uongozi bora

Mkapa atashinda... na atapokea tuzo kwa niaba yetu Watanzania na atasifiwa kwa jinsi alivyopambana na rushwa, kuinua uchumi, na kuinua utawala wa demokrasia
 
Masatu,
Huna mpya kaa pembeni dogo watu wazima tuendelee kukata issue hapa.

FD,
Unajua inabidi niwafahamishe kwa undani zaidi kipi hasa nachopingana na utawala wa Mkapa ktk maelezo yote yaliyokwisha tangulia. Nitatumia mfano mdogo sana ambao nadhani utawapa picha - where I come from.
Mimi namwona marehemu Mwl. Nyerere kama ni mzee wa Kariakoo aliyejenga kibada chake cha vyumba sita kwa taabu na kujinyima sana na familia yake yaani sisi Watanzania tulipitia maisha ya taabu sana pamoja na kwamba kulikuwepo na soko dogo la kuuza nyumba hiyo tukawa na fedha kiasi za kuendesha maisha.. katika hesabu zake mwl aliona fedha zinazoweza tokana na mauzo ya nyumba hiyo hazitoshi kabisa kuwa mtaji bora kwa familia yake kwa hiyo alikataa katu kuuza kibanda chake kama ni mirathi ya wanawe huko mbele ya safari..Na hawa watoto aliwaeleza vizuri nini makusudio yake kkutouza kibanda hicho.....
Lakini baada ya kifo chake tatizo limekuja baada ya huyu mtoto mkubwa aliyekabidhiwa mirathi kulinda (MKapa). Huyu mjomba kutokana na shida aliuza kibanda hicho chenye thamani ya karibu dollar 200,000 kwa kuweka mkataba na mnunuzi apewe Usd 50,000 na kighorofa kimoja cha vyumba viwili self contain kwa ajili yake na falimia yake (mke na watoto wake).
This is where the problem is.... kwa hiyo nyie mnatazama hizo 50,000 tulizopewa na kusema afadhali tumepata 50,000 ambazo hatukuwahi kuwa nazo ktk akiba wakati wa Nyerere. mnachotazama ni fedha mfukoni badala ya wealth, jambo ambalo ktk nchi za magharibi tajiri sio kabisa mwenye fedha mfukoni bali utajiri hutokana na mali zake.
Binafsi nikitazama thamani ya nyumba na fedha tulizolipwa havilingani kabisa, kisha mtaji wa 50,000 hauwezi kutupeleka mbali kulingana na matumizi ya sasa acha mbali uwezo wa kujenga vibanda kwa familia inayokuwa kiumri.
Hivyo basi, watu kama Mo Ibrahim watamwona Mkapa kama ni Mungu mtu na kumpa tuzo hizo kwani wao ndio walanguzi wa hiyo nyumba, lakini sidhani kama huyu Mkapa anastahili sifa toka kwetu kwa sababu tu aliweza kuuza nyumba yetu kwa Usd 50,000 ambazo hakutuwahi kuzikamata. Na ukitazama sifa za Mwl. Augustine Moshi zinahusu ukusanyaji wa fedha za mauzo ya nyumba hii ambayo tumeibiwa kwa bei.
Pili, ebu jiulizeni ikiwa wakati wa Nyerere mapato madogo tuliyokuwa nayo aliweza kuendesha wizara na mashirika yote imekuwaje leo serikali yetu ambayo haina gharama tena (expenditure) za mashirika yale inashindwa kuhudumia hata sehemu ndogo ya miundombinu kama vile maji, Umeme, Afya na Elimu ambayo Mwl. pamoja na fedha zake za kuuza kahawa na kashata aliweza kuhakikisha vinapatikana. Kama ni ukame na kupanda kwa mafuta yametokea wakati wa Nyerere tena kwa nguvu zaidi lakini wananchi hawakukosa mishahara yao ama kukosa maji, Umeme na huduma za Afya na elimu acha huduma nyinginezo.
Kwa hiyo, tumtazame Mkapa kama kiongozi na vipimo vyetu vitazame mazuri kwetu sisi Wadanganyika na sio yale yanayotolewa na walanguzi nje ya familia yetu. Kuhusu kupima Mkapa na JK sidhani kama hili ni jambo zuri kwani JK hayupo ktk wagombea wa tuzo na pili, nadhani kama mtu akikuuliza kati ya Mobutu na Idd Amin utamchagua nani?.. jibu lake ni - none of the above. Kumbuka tu kuwa swali hilo linatanguliwa na Good governance!
 
Mkandara,

Good observation. tatizo linalokuja ni je hao wapinzani wa bwana Mkapa wana sifa?, kumbuka hizo hela Mkapa atazileta huku bongo na kuajiri watu katika mradi wa Kiwira, huoni kuwa ndugu zetu watapata ajira, na kupunguza japo kidogo unemployment?

Kama kukosea alishakosea sasa dawa ni bora akose na yeye au tuangalie utaifa? (ajira n.k)
 
Mi nadhani nianze na Mo Ibrahim, as a Businessman, yeye ni NANI hadi apate nafasi ya 'kuwapanga mstari' viongozi wa Afrika katika misingi sijui ya demokrasia na nini?

I mean, huyo mfanyabiashara binafsi ni msafi kiasi gani hadi athubutu kutoa hiyo tuzo? maana mimi sioni kingine zaidi ya ubeberu tu hapa, asiwadanganye mtu, siasa zinatofautiana, from one place to another, and what democracy means, pia ni tofauti,

Na je, kwa nini zikatolewa London na sio makao makuu ya AU kwa mfano? hizo bilioni tano si angeanzia kwao Darfur ambako watu wanateseka, huena zingewasaidia hata maji ya kunywa, kuliko kumpa mtu mmoja ambaye tayari yuko better off? Raisi gani kastaafu masikini ukiacha wale wa enzi ya Nyerere?
Mi naona hapo kuna ubeberu wa kifikra tu, 'wakubwa' wanaendelea kutufundiha nini maana ya demokrasia, huku wao wenyewe utekelezaji wao wa demokrasia ukitia shaka....

Nakulilia Tanzania, article hapo chini itakupa picha zaidi kuhusu Mo Ibrahim ni nani na hiyo tuzo ina maana gani.

Mo Ibrahim-Africa calling


FROM THE ECONOMIST

Mo Ibrahim helped to bring mobile phones to Africa. Now he has bigger plans
IN 1998, as the telecoms boom was under way, Mo Ibrahim was amazed that big companies were rushing into the mobile-phone business around the world, yet not in Africa. There they saw only problems: poverty, unrest and corruption. Mr Ibrahim, a veteran of the telecoms industry in Britain and Sudan, was at the time running a consultancy he had founded in London. Amid the cigar smoke and snifters that followed its directors' dinners, an idea formed. Might it be possible to set up a pan-African mobile operator--and to do so without paying bribes?

This was the genesis of Celtel, which is now one of Africa's largest mobile operators, with some 20m subscribers in 15 countries.When Mr Ibrahim sold Celtel in 2005 to MTC, a Kuwaiti operator, for $3.4 billion, it demonstrated that the continent was open for business. Rather than charity, he insists, "the way forward for Africa is investment."

Building businesses in Africa is important to Mr Ibrahim, who had to leave the continent as a young man in order to pursue his career. Born in Sudan and raised and educated in Egypt, he started off as an engineer at Sudan's national phone company. After further study in Britain he went on to become technical director at Cellnet, the wireless arm of BT, Britain's biggest telecoms operator. (Cellnet was subsequently sold, renamed O2 and is now owned by Telefónica of Spain.) He left in 1989 to set up an engineering consultancy that designed mobile networks, and sold the firm for just over $900m to Marconi in 2000.

These experiences paved the way for Celtel's emergence. The consultancy enabled Mr Ibrahim to peer into the business models of dozens of mobile operators, from which he concluded that an African operator would work. His time at BT was also informative: big companies, he says, teach a fellow everything he ought not to do in order to be successful. "Later on in life I was not worried about taking on the big guys, because you know they are not efficient," he says. And Mr Ibrahim's previous success meant that the motivation behind Celtel's establishment was not solely commercial. He and his co-founders had already made their fortunes and regarded Celtel as a political and intellectual test. That is why they happily ventured into risky African markets and refused to pay bribes.

Now that mobile telephony is booming in Africa, Mr Ibrahim has other plans. Not for him the typical rush into private equity. Instead he set up a foundation last year with the novel (and, say critics, utopian) mission of promoting good governance in Africa. It plans to award an annual prize of $5m to retired African leaders who rule well and then stand down, rather than trying to cling to power. The foundation is working with Harvard University to establish a scoring system with which to assess potential candidates. The prize committee is chaired by Kofi Annan, former secretary-general of the United Nations. The first award will be presented in October, though the prize will be presented only in years when a worthy winner can be found. By that point Mr Ibrahim plans to have stepped down as the chairman of Celtel to avoid any possible conflict of interest.

Meanwhile Mr Ibrahim has also put up $150m to establish a fund to invest in African businesses. From its newly opened offices in London, the Africa Enterprise Fund will seek out promising companies in financial services, consumer goods, energy and agricultural processing. The aim is to focus on established businesses that need cash and experienced management to grow, and the average investment is expected to be around $20m. Only companies that can expand their operations regionally or throughout Africa will be considered. Mr Ibrahim has appointed Tsega Gebreyes, Celtel's former strategy chief, to help run the fund. This is because the fund's approach is to apply the Celtel formula in other fields: identify inefficiencies, consolidate fragmented operations, go pan-continental and develop a respected brand. The goal is scale. A large company that operates in several African markets can attract a higher calibre of managers than a gaggle of local ones, and can have more political clout when demands for bribes crop up.

Politics, philosophy and economics

Though there are no direct links between the foundation and the fund, the two are symbiotic. Business and investment in Africa can succeed only if there is good governance, which is what the foundation is intended to promote. And economic development is necessary in turn to give people a stake in improving the political process. The foundation's $5m prize is a pittance, it is true, when compared with the spoils that can be extracted by staying in power. But the initiative may not be totally futile: given the impotence of Africa's intergovernmental bodies it will do no harm at all to produce an annual public ranking of African governance. And the foundation will offer a carrot where other non-governmental organisations carry sticks.

The investment fund is also tiny when set against the magnitude of Africa's problems. But as Celtel shows, some businesses can have a powerful ripple effect, promoting economic activity and generating new investment. Celtel employs around 8,000 people directly, for example, but it and other mobile operators indirectly provide jobs to around 170,000 people in Africa who resell prepaid airtime. More broadly, mobile phones also promote entrepreneurship and economic activity by widening access to markets and making up for poor or non-existent transport infrastructure. Similar ripple effects ought to be possible in other fields such as financial services and energy.

Thirty years ago Mr Ibrahim had to leave Africa for Europe in search of education and professional success. He hopes that fostering indigenous African companies will help ensure that tomorrow's engineers and entrepreneurs can find their opportunities closer to home.

SOURCE: THE ECONOMIST


And a bit more about this gentleman;

Dr Ibrahim is a technical innovator who joined the industry 22 years ago at the launch of the world's first mobile network. More than 18 years ago he founded Mobile Systems International (MSI), a company that developed the software to help operators manage and plan their use of radio spectrum at a time when networks were planned using tracing paper and a map.
 
hatari iliopo ikiwa mtu hastahiki na kwa kuwa wetu apewe tu, hapo hatutakuwa tumetenda haki. ikiwa anastahiki na apewe na wala asipendelewe.


ama kuhusu ule waraka wa BUtiku vipi umeshawafika majaji? maana inaonyesha mkapa hakuwa na good cooperation na wenziwe.

hata hivyo je wenzetu wa msumbiji wanamuona chissano ni bomba kila idara? au ss tu na choyo chetu na ubinafsi ndio unatufanya tupekuwane sana?
 
Afadhali amekosa maana angepata publicity ya bure.

Ila huenda mwakani akapata maana Chissano sasa kapungua na waliobaki wote hoi.


Uwiii kwani hakuna mwingine yoyote africa aliyemzidi atakayemaliza uraisi wake mwaka huu au mwakani kabla ya Sept?

In 5 or 10 years from now namuona Madame Pres wa Liberia akichukua Tuzo ya Mo Ibrahim...yule mama ana future nzuri kwenye uongozi wake.
 
Kitila,

Hao ndio aina ya viongozi tulio nao Tanzania, ndio hao wanaoshangaa kwanini Tanzania bado masikini. Badala ya kufikiria vitu positive wanatukana. Ndo hao waliotuambia tu wavivu wa kufikiri.

Admin naomba toa adhabu. Fungia wote wenye tabia hizi.
 
we masatu mavi kweli,shoga la pwani wewe,nasikia ushakua malaya sana unatafuta wanaume humu kwenye site pumbafu wewe.

Wewe Jane 4 msenge mpevu mkundu wako ushachoka watu wanataka vitu mnato peleka mbele huko! bwabwa we!
 
nilifikiri mkapa angeshinda but am gald hakupata hiyo tuzo, hawa viongozi wa CCM wangepata nafasi ya kubrag kwa wananchi jinsi walivyo bora mpaka wanashinda tuzo kubwa kubwa.
 
Hivi mbona Mandela hakuwemo kwenye list? Au ni wale tu ambao wameachia madaraka siku za karibuni.
 
I will be pleasantly rather unpleasantly surprised kama admin hatachukua hatua dhidi ya Masatu na mwenzake, for these blatant violations za sheria za Forum kama zilivyoainishwa na admin mwenyewe! Yes, we always say rules should apply to all without discrimination.

Honestly this is beyond our JF we know, hi ikipita bila accountability ya hawa jamaa (si waungwana tena) next time it will be me or you! what will you say?

Admin kazi kwako. Nasubiri!
 
Haya Rais Mkapa,

Tafadhali kaa ujiulize tena na tena kwa nini watanzania wenzako wameweka utanzania na uzalendo pembeni wakafanya kampeni usipate hii tuzo.

Kulingana na utajiri uliojikusanyia isivyo halali unaweza kupuuzia na kudharau kilichotokea hapa. Hata hivyo nakukumbusha kuwa, pamoja na kuwa natambua mema na kazi nzuri uliyofanya ukiwa rais wakati wa awamu yako ya kwanza? mabaya na dharau ulizoonyesha katika awamu yako ya pili na baada ya kustaafu ni makubwa zaidi na yataendelea kukuandama for the rest of your life.

Just think about it. Sooon watanzania wengi sana watakuwa wanakuchukia, hiyo pesa utaifaidi vipi?
 
Back
Top Bottom