ppp

GDP (PPP) means gross domestic product based on purchasing power parity.
This article includes a list of countries by their forecast estimated GDP (PPP). Countries are sorted by GDP (PPP) forecast estimates from financial and statistical institutions that calculate using market or government official exchange rates. The data given on this page are based on the international dollar, a standardized unit used by economists. Certain regions that are not widely considered countries such as Hong Kong also show up in the list if they are distinct jurisdiction areas or economic entities.
GDP comparisons using PPP are arguably more useful than those using nominal GDP when assessing the domestic market of a state because PPP takes into account the relative cost of local goods, services and inflation rates of the country, rather than using international market exchange rates, which may distort the real differences in per capita income. It is however limited when measuring financial flows between countries and when comparing the quality of same goods among countries. PPP is often used to gauge global poverty thresholds and is used by the United Nations in constructing the human development index. These surveys such as the International Comparison Program include both tradable and non-tradable goods in an attempt to estimate a representative basket of all goods.The first table includes estimates for the year 2020 made for each economy of the 194 countries and areas (including Hong Kong and Taiwan) covered by the International Monetary Fund (IMF)'s International Financial Statistics (IFS) database. The data is in millions of international dollars and was calculated and published by the IMF in April 2020. The second table includes data, mostly for the year 2018, for 180 of the 193 current United Nations member states as well as Hong Kong and Macau (the two Chinese Special Administrative Regions). Data are in millions of international dollars; they were compiled by the World Bank. The third table is a tabulation of the CIA World Factbook GDP (PPP) data update of 2019. The data for GDP at purchasing power parity has also been rebased using the new International Comparison Program price surveys and extrapolated to 2007. Non-sovereign entities (the world, continents, and some dependent territories) and states with limited recognition (such as Kosovo, Palestine and Taiwan) are included in the list in cases in which they appear in the sources. These economies are not ranked in the charts here, but are listed in sequence by GDP for comparison. In addition, non-sovereign entities are marked in italics.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hii Dunia imejaa madeni kila kona haiwezi kujiendesha kwa Kodi na Mikoo tena | Tegemeo la Dunia kwa sasa ni Ubia (PPP) - Kafulila

    KAFULILA: DUNIA IMEJAA MADENI UBIA NDIO SULUHISHO Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila, akizungumza katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), alisema kuwa ajenda ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi siyo ya Tanzania pekee, bali ni mwenendo wa dunia kwa sasa...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kafulila amegeuka kuwa mwalimu wa kufundisha PPP na faida yake ni ipi?

    Nini kimemfanya Kafulila kuwa anazunguka sehemu mbalimbali hasa vyuoni kufundisha PPP wakati Tanzania imekuwa ikifanya miradi ya PPP miaka mingi sana tangu awamu ya tatu enzi za Rais Mkapa? PPP imekuwepo kwenye afya ambapo serikali imekuwa ikishirikiana na makanisa katika hospitali, bandarini...
  3. U

    JamiiForums Tanzania PPPTZ: TBA Yatangaza Fursa za Uwekezaji wa Ubia (PPP) katika Viwanja vya Serikali Nchini, Mnaotaka kujenga nyumba za biashara changamkeni

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetangaza rasmi fursa za uwekezaji kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), kwa kualika wawekezaji wenye uwezo, uzoefu na sifa stahiki kuwasilisha Expression of Interest (EOI) kwa ajili ya kuendeleza viwanja mbalimbali vya Serikali...
  4. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania DENI LA TAIFA: Wakati Tanzania likiwa chini ya 50% ya GDP Rwanda kufikia 79% waamua kuachana kabisa na mikopo na kujikita kwenye PPP tu

    Wasalaam, Mnaohusikia na mambo ya Uchumi wa Tanzania someni hii stari kwa mstari, Sikuwa naelewa anachofanya Kafulila kupitia hii taarifa nimeanza kumwelewa. Katika bajeti ya Rwanda ya mwaka wa fedha 2026/27 yenye thamani ya Rwf 7.8 trilioni ($5.3 bilioni), sekta ya Ushirikiano wa Sekta ya...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania PPP centre: Tanzania’s trillion economy pillar

    Why Tanzania’s PPP Centre could be central to the country’s trillion-dollar economic ambition In his seminal 2011 book The Next Convergence: The Future of Economic Growth in a Multispeed World, Nobel Prize-winning economist Michael Spence posed a question that continues to shape development...
  6. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Kongamano kubwa la PPP na Wizara ya Maji | Fuatilia ujue kwanini soon shida ya maji nchini itabaki historia

    Fuatilia mdahalo huu kwa faida yako na faida ya watoto wako. https://www.youtube.com/live/ns5m5m5-20o?si=hLRnoSO87jjQU2b0
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Daraja la Dar-Zanzibar kwa PPP litainua uchumi

    Akizungumza kwenye Kongamano na Wadau wa TPSF na PPPC Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC), Hamad Hamad, alieleza kuwa mradi wa Daraja la Dar- Zanzibar unaweza kufungua milango ya biashara kwa kiwango kikubwa, lakini akasisitiza changamoto za maandiko ya miradi ya PPP...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kafulila ameenda wapi na PPP zake na udadavuzi wa uchumi?

    Ni muda mrefu sasa Kafulila hajasikika akileta taarifa za PPP kama tulivyomzoea akitoa taarifa na kudadavua mambo mbalimbali ya uchumi. Kabla ya October 2025 Kafulila alikuwa moto sana na taarifa zake za PPP zilijaa kwenye media hadi hapa jukwaani. Kulikoni?
  10. Bibianna

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu Majaliwa Khasim Majaliwa: PPP imesaini miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 681.53

    == Waziri mkuu amesema kuwa Chini ya Rais Samia, mikataba minne ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) yenye thamani ya shilingi bilioni 681.53 imesainiwa mwaka 2024/25 kwa ajili ya kutoa huduma ya usafiri wa mabasi katika Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Mikataba hiyo...
  11. Investigation Unit

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Nchi zenye uchumi wa $1Trilioni duniani ziko 19 tu wakati Africa hakuna hata moja Tanzania tutaitoa Africa kimasomaso ifikapo 2050

    Recall: Akiongea katika kongamano la Dira2050 jijini Mwanza lililoandaliwa na Taasisi ya REDET kwa ushirikiano na PPPC David Kafulila amaesema yafuatayo namnukuu, "Nchi zenye uchumi wa $1Trilioni duniani ziko 19 tu wakati Africa hakuna hata moja hueanda Tanzania tukaitoa Africa kimasomaso...
  12. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania MWANZA: Ni mjadala mkali hapa Prof. Mukandara pale David Kafulila, Jumamosi 26|07|2025

    == Hii kama itafanyika nchi nzima Kwa namna hii basi Kwa mara ya Kwanza Tanzania itapiga hatua kubwa katika maendeleo kupitia PPP hasa Kwa level ya Halmashauri na Mikoa. == Mwanza mmebahatika msikosee,
  13. C

    JamiiForums Tanzania PPP kuifikisha Tanzania uchumi wa kati wa juu 2050

    Moja ya shabaha kuu iliowekwa na Dira 2050 ni kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2050 Taifa letu liwe limetokomeza kabisa umasikini uliokithiri, ambapo kwa mujibu ripoti ya Benki ya Dunia (2025) Asilimia 26 ya watanzania linaishi katika kundi hili, Miongoni mwa vichocheo vinavyoweza kuharakisha...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dkt Kahyoza: Kati ya hotuba 34 za Rais Samia 17 zilizungumzia PPP na kati ya nchi 195 zilizopo duniani ni nchi 26 tu na Tanzania ikiwemo zina PPPC

    == Mchambuzi nguli wa mambo ya Fedha na Uchumi Dkt Bravious Kahyoza katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Wasafi TV katika kipindi maarufu cha One on One alisema kuwa Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anaonesha msukumo mkubwa kwenye maswala ya Ubia, PPP. Dkt Kahyoza anasema...
  15. M

    JamiiForums Tanzania CCM, CHADEMA, CHAUMMA, CUF, ACT, NGOs kesho Kwa pamoja kujadili faida za PPP katika kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya 2050

    https://youtu.be/1f_r4K23h0c?si=JryS33KdwjyIkuCY === Mkurugenzi wa Mtendaji wa taasisi ya Utafiti na demokrasia Prof Rwekeza Mukandara kwa mashirikiano na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC wameandaa kongamano kubwa na la kihistoria litakalofanyika Chuo kikuu Cha Dar es salaam. Pamoja na...
  16. B

    JamiiForums Tanzania PPP na UDSM kujadili mwenendo wa uchumi na nafasi ya sekta binafsi kuelekea Tanzania 2050

    Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) imekuja na Kongamano la Wanazuoni kujadili mwenendo wa uchumi na nafasi ya Sekta Binafsi kuelekea Tanzania 2050. Kongamano hili litafanyika Jumanne tarehe 27/05/2025...
  17. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania Ifike mahali Tanzania nayo ijue Dunia hii inaendeshwa kwa PPP mpango wa kuandaa bajeti ya Serikali kwa matarajio ya mikopo na misaada ni kujidumaza

    Wakati Bunge la 12 linaendelea na linaelekea mwishoni nina hoja moja ya msingi Kwa wabunge wote wa bunge hili hata wale wa bunge la 13 hasa wakati huu ambao kila nchi duniani inajifikiria yenyewe na watu wake tu, Kimsingi ubinafsi unazidi kumea sana duniani. Waheshimiwa wabunge, nimeyasikia...
  18. Mpigania uhuru wa pili

    JamiiForums Tanzania Dhana ya PPP inapotoshwa sana na kina kafulila na serikali haiwezi kwepa majukumu yake kwa kivuli cha PPP

    Kuna miradi ni jukumu la serikali kuibeba hasa ile inayohusu kuhudumia wananchi mfano barabara, hospitali, kusambaza umeme, maji na mingine kama hiyo hiyo ni jukumu la serikali kuitekeleza Kuna miradi kweli unahitaji PPP kuitekeleza sababu utekelezaji wake unahitaji fedha kubwa mfano Mradi wa...
  19. Mkunazi Njiwa

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Mfano wa "REFORM" ya Rais Samia ni kama hivi anavyowahusisha "PPP" katika ujenzi wa barabara ya Kiberashi mpaka Singida(340kms)

    4R's za mh.Rais Samia zina mawanda mapana sana. REFORM: Huko nyuma hatukuona ujenzi wa barabara zetu wakipewa "PPP-ubia wa sekta binafsi na serikali" zaidi ya hatua za wizara ya uchukuzi(ujenzi)pekee. Mh.Rais Samia amekuja na mikakati hii mipya akiichagiza "REFORM" kwa kuihusisha "PPP" na...
  20. Y

    JamiiForums Tanzania Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

    :::::: Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP...
Back
Top Bottom