Kambi ya Jeshi Lugalo ihamishwe serikali ipime viwanja vya makazi eneo hilo

Kambi ya Jeshi Lugalo ihamishwe serikali ipime viwanja vya makazi eneo hilo

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Hiyo kambi ipo kitambo sana enzi hizo mji unaishia Magomeni na Oysterbay, Sinza ilikuwa mashamba ya miwa na mpunga. Lugalo ilionekana ni nje ya mji.

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya kijeshi ila ile kambi kuwa pale ni kero tu. Kwanza huku Kawe watu wanaishi kwa hofu tu, kila mtu anajifanya ni mwanajeshi, ukipata pancha maeneo ya Lugalo we tembelea ringi tu ukipaki ubadilishe tairi eti ni kosa.

Jiji lina uhaba wa viwanja vya makazi na huduma nyingine, fungeni kambi ipelekwe huko nje ya mji mkate viwanja mji uchangamke.
 
Kambi za kijeshi huwekwa kwenye strategic points. Hata pale posta inaweza kuweka kwa sababu za kimedani.
 
Ni kweli
Wahamishwe tu, kuna wehu wanalala humu kwenye haya mabweni kila siku kugambania mademu na raia
Haiwezekani wakae mjini kirejareja hivi, wapelekwe huko maporini, halafu pajengwe nyumba za kishua hapo

1744210455394.png
 
Mleta post ana hoja asikilizwe. Kambi za jeshi uwa zinawekwa mafichoni nje ya miji.
 
Hiyo kambi ipo kitambo sana enzi hizo mji unaishia magomeni na oysterbay
sinza ilikuwa mashamba ya miwa na mpunga..


.Lugalo ilionekana ni nje ya mji.

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya kijeshi ila ile kambi kuwa pale ni kero tu.kwanza huku kawe watu wanaishi kwa hofu tu,kila mtu anajifanya ni mwanajeshi,ukipata pancha maeneo ya lugalo we tembelea ringi tu ukipaki ubadilishe tairi eti ni kosa,

Jiji lina uhaba wa viwanja vya makazi na huduma nyingine,fungeni kambi ipelekwe huko nje ya mji mkate viwanja mji uchangamke.
Kambi ya jeshi kukaa pale sio tatizo,Alafu nani kakuambia mtu kuwa mwanajeshi anageuka kuwa mnyama pori anayestahili kukaa mwituni tu.Kikubwa na cha msingi raia kuzunguka maeneo yale wawe salama na wajickie wapo salama hii ikiwa pamoja na wanaopita na magari yao.Kuna story ilimtokeaga ommy dimples kipindi flan,ya kurushwa kichura kisa gari lake limeharibika maeneo yale,kama yale mambo yanaendelea serikali iangalie jinsi ya kuwaamishia porini maana ubinadam utakuwa umewashinda.
 
Back
Top Bottom