kwani mshindi wa kwanza,Rose Manfere amekosa vigezo.
Kamati imesema kazi ya BASATA ni kutoa kibali,lakini wao ndio wenye leseni.View attachment 1858767
Labda aligoma kutoa mbuchuchu..🤣Chakujiuliza anakosaje vigezo wakati alishinda Miss Tanzania?
Chakujiuliza anakosaje vigezo wakati alishinda Miss Tanzania?
Kitenge Tv Vs AyoTv ipi Kali?
VipiAiseeeh
Ni simple mkuuChakujiuliza anakosaje vigezo wakati alishinda Miss Tanzania?
Alivunja masharti ya mkatabaChakujiuliza anakosaje vigezo wakati alishinda Miss Tanzania?
Wahaya! Wahaya! Wasikie tukwani mshindi wa kwanza,Rose Manfere amekosa vigezo.
Kamati imesema kazi ya BASATA ni kutoa kibali,lakini wao ndio wenye leseni.View attachment 1858767
Nahisi huyu atakuwa ametoa mbususuBasata wamesema anaenda Rose manfere