Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,269
- 1,656
Tunaenda kinyume nyume , dunia iko kwenye hatua za mwisho za corona Rais anataka tuanze upya , yaani turudi 2020 kukabiliana na corona, huyu Rais mshauri wake ni nani? anajua madhara ya kutanga corona hewa? kweli tuna kiongozi bendera fuata upepo.