Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,743
kinachonifurahisha ni kwamba barakoa zinavaliwa kipindi cha kukabidhi na picha za kitaifa baada ya hapo wahusika maisha yao ya kawaida hawavai barakoa na wananchi wanaoongea nao hawaoni haja ya kuwapa barakoa japo katika kipindi cha kuongea nao ila hawaoni tabu kuwapa mlo.
bora mlo 7000 lakini sio barakoa ya 700/- kweli!
bora mlo 7000 lakini sio barakoa ya 700/- kweli!