Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Vyeo ni dhamana ,wengine wanadhani kutokana na nyanyifa zao basi wakitoa matamka yanakuwa ni sheria 'wanahitaji kurudi shule'
 
Alifikiri Mama ni Mwendazake,eti amchezeshe singeli
 
Huyo atabaki kuwa Mwendazake tu,tusipangiane,tunajua kwamba hao ndio walikuwa waimba mapambio wake wakati watu wakiteswa na kuuawa sasa wanatafuta pa kutokea
 
Kwanini Kamati haijadili HAKI ? Watu wanateseka bila HAKI Kamati IPO kimya
 
Ni vibaya kuwasema viongozi wa kiroho lakini kwa aina ya viongozi ya viongozi wasiojoelewa kama hawa hakuna namna kuwakosoa na kuwasema ya kwamba wasione aibu kuchutama ili tusiwaone utupu wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…