Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,997
- 39,794
Nitajitahidi kutomuita hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeo ni dhamana ,wengine wanadhani kutokana na nyanyifa zao basi wakitoa matamka yanakuwa ni sheria 'wanahitaji kurudi shule'Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha aman...
Alifikiri Mama ni Mwendazake,eti amchezeshe singeliKama kuna watu wamepigwa na njaa hizi siku 100 za kwanza za Mother ni viongozi wa dini feki, wasanii feki, wamiliki wa vyombo vya habari vya hovyo (Musiba na wenzake) na watoto pendwa wa jpm wasiokuwa na maadili (Sabaya and co). Kwa sasa wataropoka lolote ili nao waonekane, but the good thing is Mama hana shobo na wanafiki na waganga njaa. Jana kuna msanii kamsifu mother then kamwambia Mama simama watu wakuone akamgomea tena kwa kutikisa kichwa
Ile kamati ya wachungaji na mashekhe feki??
Uyo Askofu aache kuchanganya dini na siasa
Kwanini Kamati haijadili HAKI ? Watu wanateseka bila HAKI Kamati IPO kimyaKamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani...
MwendazakeBangi isingekatazwa, watu wengekuwa hawana muda nayo, hilo neno waliache wakizuia wameumia
Vp ni baba yako?Kuna watu humu wasipomuongelea jpm hawapumui.
Imepenya hiyo tulia MatagaPumbavu we mpumbavu
Mtu akiondoka hawezi kuwa mja kiswahili sanifu mwenda means atorudi tenaBasi sawa tutamuita MJAZAKE
Wanafiki hawaYaan wanafikirisha kwa kweli, khaaaah
Hilo jina LABDA linakwamisha juhudi zao za kumfuafua. Waliishazoea MABULUNGUTU.Wao wamuite wanavyotaka maana walimuita malaika, yeah, mtume etc ujinga mwingi. Watuache tumuite tunavyotaka, bastards.