Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Hakika. Watanzania tuendelee na maisha yetu ya kutafuta mkate wa kila siku. Siasa waendelee CCM.Hapo naunga mkono hoja mkuu, kama hakuna tume huru waache wafanye uchaguzi wao wenyewe, sasa waamue wateuane au wafanye uchaguzi peke yao.