mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Hoja kama hizo za utetezi ndizo zimeungiza ushindani. Nguvu mnayoitumia humu JF na mitandao ya kijamii kuishambulia Serikali mkafanya hivyo kwa viongozi wa vyama upinzani, hakika vitaimarika kisiasaRuzuku za ccm zaidi ya billion kwa mwez wamefanya kitu gani?
Chadema ruzuku yao ni 250milion kwa mwez na ccm ni bilion moja plus
Unauliza mwenye pesa ndogo amefanya nn why usiulize mwenye pesa nyingi?