Kamati Kuu ya CHADEMA haina meno. Mbona Tundu Lissu alijiamulia tu kumuunga mkono Maalim Seif na haikumfanya chochote?

Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.

Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.

Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?

Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.

Maendeleo hayana vyama
Sasa wewe MATAGA utajuaje kama alichosema Lissu hakikuwa msimamo wa chama/Kamati Kuu?
 
Lissu ni mbabe na asie na staha kwa wenzake. Hujiona yeye ndio Alfa na Omega. Hata hili la viti maalum naamini ni ubabe wake tu. Yeye anaishi kwa sponsor Belgium afu analazimisha wenzake wakaange injini kwa 5 tena. Angebaki tupigike sote tumuamini.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Lissu ni mbabe na asie na staha kwa wenzake. Hujiona yeye ndio Alfa na Omega. Hata hili la viti maalum naamini ni ubabe wake tu. Yeye anaishi kwa sponsor Belgium afu analazimisha wenzake wakaange injini kwa 5 tena. Angebaki tupigike sote tumuamini.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa sana mkuu.

Yeye anakula bata uzunguni halafu anataka wenzake wasitimbe bungeni!
 
Lissu ni mbabe na asie na staha kwa wenzake. Hujiona yeye ndio Alfa na Omega. Hata hili la viti maalum naamini ni ubabe wake tu. Yeye anaishi kwa sponsor Belgium afu analazimisha wenzake wakaange injini kwa 5 tena. Angebaki tupigike sote tumuamini.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kumponda Lissu kwa usaliti wa Maalim kwa Wazanzibar sio sawa
 
Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.

Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.

Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?

Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.

Maendeleo hayana vyama!
You are just an idiot, leave CDM alone!
 
Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.

Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.

Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?

Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.

Maendeleo hayana vyama!
Umekuwa muuongo sana ndugu yangu. Unafaidika na nini kuwa muongo hapa jukwaani.
Msikilize Mwenyekiti Mbowe ndio utajua yale yalikuwa maamuzi ya chama.

 
Look at you...

Kwahiyo Tundu Lissu ndie Kamati Kuu, au?!

Na una-assume kwavile ni Mkutano Mkuu ndio huteua mgombea basi automatically ndio wenye uwezo wa "kutengua"?!

Btw, ugombea wa Mgombea wa ZNZ ulitenguliwa au Mgombea husika ALISHAURIWA kumuunga mkono Maalim Seif nae akakubali?! Hivi unajua tofauti kati ya kutenguliwa na kushauriwa kumuunga mkono fulani huku Mgombea mwenyewe akiwa ndie mwenye maamuzi ya mwisho?!

Kama hufahamu, basi rejea suala la Membe ambae yeye alishauriwa kumuunga mkono TL lakini hakuafiki, na kwahiyo aliendelea kuwa mgombea wa ACT!
Kikao cha kumshauri kilikaa wapi na lini? Hiyo ni taasisi inayopigania kushika madaraka ya nchi kwahivo kila uamuzi lazima wananchama wajulishwe tena kwa vikao halali. Siyo Lisu anaenda tu zanzibar na kusema tumeamua iwe hivi! Mmeamua wewe na nani, na wapi?
 
Back
Top Bottom