Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kamanda jenga hoja
Swali halina misingi ya kisheria. Una swali lingine?
Swali halina misingi ya kisheria. Una swali lingine?
Aibu kubwa sn mtu mzima kama wewe huna kazi ya kuelewekaWewe uko kwenye meza unauza k vantee hapo kituo cha vifodi nakuona manka!
Sasa wewe MATAGA utajuaje kama alichosema Lissu hakikuwa msimamo wa chama/Kamati Kuu?Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama
Hahahaaaa....... hahahaaaa........!Aibu kubwa sn mtu mzima kama wewe huna kazi ya kueleweka
Mataga hivi hiyo Tanzania ya kijani mtaanza kuijenga lini kama muda wote mnaiwaza Chadema ambayo ina Mbunge mmoja tu bungeni?Kupitia kikao gani msimamo huo ulifikiwa bwashee?
Chadema ina wabunge 20 bwashee!Mataga hivi hiyo Tanzania ya kijani mtaanza kuijenga lini kama muda wote mnaiwaza Chadema ambayo ina Mbunge mmoja tu bungeni?
kutwa mnaiwaza chadema yenye mbunge mmoja.Tumeshaanza bwashee!
Anadanga huyoHivi huwa unafanyakazi muda gani?
Maana muda wote unazurura tu humu.
Chadema ina wabunge 20 na ijumaa ataongezeka KUB watakuwa 21kutwa mnaiwaza chadema yenye mbunge mmoja.
na safari hii mtanyooka maana malipo ya buku 7 yamesitishwa.
Wadangaji wako Ufipa wanakiendesha chama kwa ruzuku zao za mjengoni!Anadanga huyo
Fanyeni kazi achacheni na mmb ya siasa wazeeWadangaji wako Ufipa wanakiendesha chama kwa ruzuku zao za mjengoni!
Nimekuelewa sana mkuu.Lissu ni mbabe na asie na staha kwa wenzake. Hujiona yeye ndio Alfa na Omega. Hata hili la viti maalum naamini ni ubabe wake tu. Yeye anaishi kwa sponsor Belgium afu analazimisha wenzake wakaange injini kwa 5 tena. Angebaki tupigike sote tumuamini.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Haahaa chama gani ambacho waweza kuwahoji viongozi wao?Chadema hii ya akina salary slip haina uwezo wowote wa kuhoji maamuzi yanayofanyika na viongozi wao
Kumponda Lissu kwa usaliti wa Maalim kwa Wazanzibar sio sawaLissu ni mbabe na asie na staha kwa wenzake. Hujiona yeye ndio Alfa na Omega. Hata hili la viti maalum naamini ni ubabe wake tu. Yeye anaishi kwa sponsor Belgium afu analazimisha wenzake wakaange injini kwa 5 tena. Angebaki tupigike sote tumuamini.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
You are just an idiot, leave CDM alone!Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama!
Narudia bwashee!Mtoa hoja rudia tena kuisikiliza hotuba ya Lissu.
Umekuwa muuongo sana ndugu yangu. Unafaidika na nini kuwa muongo hapa jukwaani.Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama!
Kikao cha kumshauri kilikaa wapi na lini? Hiyo ni taasisi inayopigania kushika madaraka ya nchi kwahivo kila uamuzi lazima wananchama wajulishwe tena kwa vikao halali. Siyo Lisu anaenda tu zanzibar na kusema tumeamua iwe hivi! Mmeamua wewe na nani, na wapi?Look at you...
Kwahiyo Tundu Lissu ndie Kamati Kuu, au?!
Na una-assume kwavile ni Mkutano Mkuu ndio huteua mgombea basi automatically ndio wenye uwezo wa "kutengua"?!
Btw, ugombea wa Mgombea wa ZNZ ulitenguliwa au Mgombea husika ALISHAURIWA kumuunga mkono Maalim Seif nae akakubali?! Hivi unajua tofauti kati ya kutenguliwa na kushauriwa kumuunga mkono fulani huku Mgombea mwenyewe akiwa ndie mwenye maamuzi ya mwisho?!
Kama hufahamu, basi rejea suala la Membe ambae yeye alishauriwa kumuunga mkono TL lakini hakuafiki, na kwahiyo aliendelea kuwa mgombea wa ACT!