Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,455
Kwa umri wako ulipaswa uwe na miradi kuliko kushinda JF huku hata chumba cha kupanga kimekushindaRabeka bint yangu!
Kwa umri wako ulipaswa uwe na miradi kuliko kushinda JF huku hata chumba cha kupanga kimekushindaRabeka bint yangu!
Nimekuelewa mkuu!Hakuna mwenye uwezo wa kumhoji Lissu kwa Chadema ya Sasa.
Hahahaaaa...... Tunamsikiliza maalimu Seif akimpa darasa Tundu Lisu hapa Ikulu ya Zanzibar!Kwa umri wako ulipaswa uwe na miradi kuliko kushinda JF huku hata chumba cha kupanga kimekushinda
Jitahidi upate hata kibanda cha kujibana umri umekimbia wewe mzeeHahahaaaa...... Tunamsikiliza maalimu Seif akimpa darasa Tundu Lisu hapa Ikulu ya Zanzibar!
Naunga mkono hoja!Uongo
Mgombea uraisi wa Chadema ZANZIBAR alipitishwa na kamati kuu ya CHADEMA na mkutano mkuu wa CHADEMA
Lisu akajibwatukia tu kuwa anamuunga mkono maalim seif bila kikao cha kamati kuu wala mkutano mkuu wowote!
Chadema mnadai katiba mpya wakati hata hiyo ya kwenu yenyewe hamuwezi kuisimamia!!! mkamwacha solemba mgombea uraisi wenu wa Zanzibar hewani
Vivyo hivyo kwa ACT wazalendo walitangaza kuuunga mkono Tundu LISU na kumtelekeza mgombea wao Membe ambaye aliteuliwa na kamati kuu na mkutano mkuu.iLIPOFIKA KUMTELEKEZA HAKUNA KIKAO CHA KAMATI KUU WALA MKUTANO MKUU kilikaa !!!
Upinzani Tanzania ni hopeless kabisa.Hawajali katiba zao halafu utasikia ohhhh tunataka katiba mpya!!!
Laana ya yule mgombea uraisi wa CHADEMA Zanzibar na Ya MEMBE ndiyo ilimfanya Lisu ashindwe uraisi
Kama hela za umma zilipigwa na ulikuwa kimya utatufananisha na sisi, Yani CAG anasema Trillion 1.5 zimepigwa lakini umeona sawa!Hakuna mwenye uwezo wa kumhoji Lissu kwa Chadema ya Sasa.
Hahahaaaa...... Nyie warombo mnalala kwenye vioski tofauti na wamachame wanaolala maghorofani!Jitahidi upate hata kibanda cha kujibana umri umekimbia wewe mzee
Kamati ya kuamua hilo ilikaa lini?hakujiamulia ulikua ni msimamo wa chama.
Comrade una swali lingine?
Waulize watakwambia, Dar nzima imejaa Rombo annex, green view, gargen n.kHahahaaaa...... Nyie warombo mnalala kwenye vioski tofauti na wamachame wanaolala maghorofani!
Wewe je?Hivi huwa unafanyakazi muda gani?
Maana muda wote unazurura tu humu.
Tutajie ni kikao kipi chenye mamlaka ya kubadili maamuzi ya baraza kuu na kilifanyika wapi? Kama maamuzi ya baraza kuu ya chama yanaweza kubadilishwa mtu mmoja tu, hiyo demokrasia iko wapi ndani ya chama chenu?hakujiamulia ulikua ni msimamo wa chama.
Comrade una swali lingine?
Warombo mnafanana na wakinga kwa makafara.....lazima muanze na kiosk au kubrush viatu wakinga huanza na meza ya sokoni!Waulize watakwambia, Dar nzima imejaa Rombo annex, green view, gargen n.k
Swali zuri sana mkuu!Tutajie ni kikao kipi chenye mamlaka ya kubadili maamuzi ya baraza kuu na kilifanyika wapi? Kama maamuzi ya baraza kuu ya chama yanaweza kubadilishwa mtu mmoja tu, hiyo demokrasia iko wapi ndani ya chama chenu?
Look at you...Mkutano mkuu ndio huteua mgombea uraisi hivyo ni automatic ndio wenye uwezo wa kutengua ugombea sio LISU na mdomo wake
Kwa babu kama wewe unashinda JF unapewa bando na CCM, unalipwa elf 5 kwa siku, unategemea kuwa tajiri kwa ujinga huu? nionye mrombo mmoja ambaye yupo bar muda huu au uvuvi kama wewe.Warombo mnafanana na wakinga kwa makafara.....lazima muanze na kiosk au kubrush viatu wakinga huanza na meza ya sokoni!
Uongo
Mgombea uraisi wa Chadema ZANZIBAR alipitishwa na kamati kuu ya CHADEMA na mkutano mkuu wa CHADEMA
Lisu akajibwatukia tu kuwa anamuunga mkono maalim seif bila kikao cha kamati kuu wala mkutano mkuu wowote!
Chadema mnadai katiba mpya wakati hata hiyo ya kwenu yenyewe hamuwezi kuisimamia!!! mkamwacha solemba mgombea uraisi wenu wa Zanzibar hewani
Vivyo hivyo kwa ACT wazalendo walitangaza kuuunga mkono Tundu LISU na kumtelekeza mgombea wao Membe ambaye aliteuliwa na kamati kuu na mkutano mkuu.iLIPOFIKA KUMTELEKEZA HAKUNA KIKAO CHA KAMATI KUU WALA MKUTANO MKUU kilikaa !!!
Upinzani Tanzania ni hopeless kabisa.Hawajali katiba zao halafu utasikia ohhhh tunataka katiba mpya!!!
Laana ya yule mgombea uraisi wa CHADEMA Zanzibar na Ya MEMBE ndiyo ilimfanya Lisu ashindwe uraisi
Wewe uko kwenye meza unauza k vantee hapo kituo cha vifodi nakuona manka!Kwa babu kama wewe unashinda JF unapewa bando na CCM, unalipwa elf 5 kwa siku, unategemea kuwa tajiri kwa ujinga huu? nionye mrombo mmoja ambaye yupo bar muda huu au uvuvi kama wewe.
Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.
Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.
Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?
Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.
Maendeleo hayana vyama!
hakujiamulia ulikua ni msimamo wa chama.
Comrade una swali lingine?