Kamati Kuu ya CHADEMA haina meno. Mbona Tundu Lissu alijiamulia tu kumuunga mkono Maalim Seif na haikumfanya chochote?

Uongo

Mgombea uraisi wa Chadema ZANZIBAR alipitishwa na kamati kuu ya CHADEMA na mkutano mkuu wa CHADEMA

Lisu akajibwatukia tu kuwa anamuunga mkono maalim seif bila kikao cha kamati kuu wala mkutano mkuu wowote!

Chadema mnadai katiba mpya wakati hata hiyo ya kwenu yenyewe hamuwezi kuisimamia!!! mkamwacha solemba mgombea uraisi wenu wa Zanzibar hewani

Vivyo hivyo kwa ACT wazalendo walitangaza kuuunga mkono Tundu LISU na kumtelekeza mgombea wao Membe ambaye aliteuliwa na kamati kuu na mkutano mkuu.iLIPOFIKA KUMTELEKEZA HAKUNA KIKAO CHA KAMATI KUU WALA MKUTANO MKUU kilikaa !!!

Upinzani Tanzania ni hopeless kabisa.Hawajali katiba zao halafu utasikia ohhhh tunataka katiba mpya!!!

Laana ya yule mgombea uraisi wa CHADEMA Zanzibar na Ya MEMBE ndiyo ilimfanya Lisu ashindwe uraisi
Naunga mkono hoja!
 
hakujiamulia ulikua ni msimamo wa chama.

Comrade una swali lingine?
Tutajie ni kikao kipi chenye mamlaka ya kubadili maamuzi ya baraza kuu na kilifanyika wapi? Kama maamuzi ya baraza kuu ya chama yanaweza kubadilishwa mtu mmoja tu, hiyo demokrasia iko wapi ndani ya chama chenu?
 
Tutajie ni kikao kipi chenye mamlaka ya kubadili maamuzi ya baraza kuu na kilifanyika wapi? Kama maamuzi ya baraza kuu ya chama yanaweza kubadilishwa mtu mmoja tu, hiyo demokrasia iko wapi ndani ya chama chenu?
Swali zuri sana mkuu!
 
Mkutano mkuu ndio huteua mgombea uraisi hivyo ni automatic ndio wenye uwezo wa kutengua ugombea sio LISU na mdomo wake
Look at you...

Kwahiyo Tundu Lissu ndie Kamati Kuu, au?!

Na una-assume kwavile ni Mkutano Mkuu ndio huteua mgombea basi automatically ndio wenye uwezo wa "kutengua"?!

Btw, ugombea wa Mgombea wa ZNZ ulitenguliwa au Mgombea husika ALISHAURIWA kumuunga mkono Maalim Seif nae akakubali?! Hivi unajua tofauti kati ya kutenguliwa na kushauriwa kumuunga mkono fulani huku Mgombea mwenyewe akiwa ndie mwenye maamuzi ya mwisho?!

Kama hufahamu, basi rejea suala la Membe ambae yeye alishauriwa kumuunga mkono TL lakini hakuafiki, na kwahiyo aliendelea kuwa mgombea wa ACT!
 
Warombo mnafanana na wakinga kwa makafara.....lazima muanze na kiosk au kubrush viatu wakinga huanza na meza ya sokoni!
Kwa babu kama wewe unashinda JF unapewa bando na CCM, unalipwa elf 5 kwa siku, unategemea kuwa tajiri kwa ujinga huu? nionye mrombo mmoja ambaye yupo bar muda huu au uvuvi kama wewe.
 
Uongo

Mgombea uraisi wa Chadema ZANZIBAR alipitishwa na kamati kuu ya CHADEMA na mkutano mkuu wa CHADEMA

Lisu akajibwatukia tu kuwa anamuunga mkono maalim seif bila kikao cha kamati kuu wala mkutano mkuu wowote!

Chadema mnadai katiba mpya wakati hata hiyo ya kwenu yenyewe hamuwezi kuisimamia!!! mkamwacha solemba mgombea uraisi wenu wa Zanzibar hewani

Vivyo hivyo kwa ACT wazalendo walitangaza kuuunga mkono Tundu LISU na kumtelekeza mgombea wao Membe ambaye aliteuliwa na kamati kuu na mkutano mkuu.iLIPOFIKA KUMTELEKEZA HAKUNA KIKAO CHA KAMATI KUU WALA MKUTANO MKUU kilikaa !!!

Upinzani Tanzania ni hopeless kabisa.Hawajali katiba zao halafu utasikia ohhhh tunataka katiba mpya!!!

Laana ya yule mgombea uraisi wa CHADEMA Zanzibar na Ya MEMBE ndiyo ilimfanya Lisu ashindwe uraisi

Hawawezi kukuelewa hao jamaa kwa sababu wamelewa figisu & shari. Maana ya katiba kwao ni njia ama mfumo wowote ilimradi uwafeve wao na kuiondoa Sisiemu madarakani. Hawana taimu na mengine. Don't forget ileeee "LIST OF SHAME" na "usafishaji!" Ndiyo maana Dkt. JPM anasemaga "Tumecheleweshwa sana!"
 
Kwa babu kama wewe unashinda JF unapewa bando na CCM, unalipwa elf 5 kwa siku, unategemea kuwa tajiri kwa ujinga huu? nionye mrombo mmoja ambaye yupo bar muda huu au uvuvi kama wewe.
Wewe uko kwenye meza unauza k vantee hapo kituo cha vifodi nakuona manka!
 
Kosa na ukiukwaji wa katiba ulianzia hapa
Kamati kuu ya CHADEMA na Tundu Lissu akiwemo iliteua jina la mgombea Urais wa Zanzibar na baadae likapitishwa na kikao cha baraza kuu Tundu Lissu akiwemo pia.

Wakati wa kampeni Tundu Lissu akabadili gia angani na kulitangazia taifa kuwa yeye anamuunga mkono mgombea urais kupitia ACT Wazalendo na kuwataka wafuasi wake kumpigia kura Maalim Seif na Zitto Kabwe kwa nafasi ya ubunge Kigoma mjini.

Mbona kamati kuu ya CHADEMA haikumuhoji Tundu Lissu wala kumchukulia hatua yoyote kama ilivyofanya kwa wale wabunge 19?

Ama ni mfumo dume umetamalaki au kamati kuu haina meno.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom