Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Mkuu ccm ni watu makini,na huwa hawana kigeugeu,tulishasema hakuna rais kutoka kaskazini!!nyie watu huwa hamuelewi?

watu makini hawaongozwi na misingi ya geographical location bali quality leadership... Maybe umakini wako unaishia kwenye kukata gogo tu
 
yeye alisema akichaguliwa tu analeta maji nini maana ya neno TU?

Mwenyekiti wenu wa taifa ana kila kitu na nyenzo za kutosha, lkn ametekeleza asilimia thelathini tu ya ahadi zote alizohaidi why??, mnyika kajitahidi sana, isitoshe mmemuwekea kauzibe kwa kuwa ni mpinzani, katika jimbo mnaompinga hamjai hata kwenye kiganja, hivyo ata endelea tu kupeta, mtajionea
 
Jitihada za Nape Nauye zinaweza kufanikiwa kushawiahi lowasa aondelewe ktk kinyanganyiro cha wagombea wa ccm. Amekuwa akipigana kufa na kuponakuhakikisha huyu hasimu wake Lowasa hafanikiwi kisiasa maana kufanikiwa kwa Lowasa ni kaburi la Nape.
.
 
wamtimue au la bado atakuwa na effect kwenye chama
 
watu makini hawaongozwi na misingi ya geographical location bali quality leadership... Maybe umakini wako unaishia kwenye kukata gogo tu

exactly huyo mkuu akili zake zitakuwa zinaishia kwenye ncha ya pua yake, sio bure!
 
lowasa akiondolewaa kwenye chama najiuaaa hiyo n kitu kisichowezekanaaa
 
lowasa kwanza wengine baadae hayo yote n maneno ila lowasa ndie rais wetu mwaka 2015
 
Hivi Lowasa akiwa Rais ataacha ka ugonjwa ka Ufisadi? Kama ataacha atawashauri wakina Rostam na Chenge waache kupiga dili? Je wanaoteketeza nchi kwa kutujazia mateja JK atampa Orodha yake awahukumu? Pesa zilikataliwa Kurudishwa ka hiari za EPA zitarudishwa. Hakiweza haya yote Basi kura yangu ndio hiyoooo (.....Yes......)
 
Hivi Lowasa akiwa Rais ataacha ka ugonjwa ka Ufisadi? Kama ataacha atawashauri wakina Rostam na Chenge waache kupiga dili? Je wanaoteketeza nchi kwa kutujazia mateja JK atampa Orodha yake awahukumu? Pesa zilikataliwa Kurudishwa ka hiari za EPA zitarudishwa. Hakiweza haya yote Basi kura yangu ndio hiyoooo (.....Yes......)

na je, lowasa akiwa rais atamuamuru JK arejeshe fedha zetu za EPA zilizorejeshwa na WEZI? na je, atamuamrisha awataje wale wezi ili washughulikiwe kisheria? mi nnavyoona lowasa akiwa rais JK ataikimbia nchi. na kwa jinsi hiyo JK, akiwa kama rais na mwenyekiti wa chama, hawezi kukubali lowasa awe rais. tusubiri tuone mwisho wa mtanange huu.
 
Back
Top Bottom