Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Kwani mpaka sasa kuna orodha ya wana CCM watakaowania urais? Ka nijuavyo mie ni kwamba wote waliotangaza nia au kufanya jitihada za kujipatia umaarufu ili ateuliwe kuwa mgombea wamefanya kosa na wote wataenguliwa. Si Lowasa tu bali hata akina Membe, Ngeleja, Makamba, Pinda nk
 
Kwani mpaka sasa kuna orodha ya wana CCM watakaowania urais? Ka nijuavyo mie ni kwamba wote waliotangaza nia au kufanya jitihada za kujipatia umaarufu ili ateuliwe kuwa mgombea wamefanya kosa na wote wataenguliwa. Si Lowasa tu bali hata akina Membe, Ngeleja, Makamba, Pinda nk

na ndivyo itakavyokuwa. rais ajaye atatoka UKAWA, yaani Dr Slaa.
 
usiwe mjinga kama mbayuwayu usilete ukabila wako humu

lowassa ndio mtu pekee mwenye mvuto ndani ya ccm na cc hlo ndilo tunajua sisi na ndiye Raisi wako wa awamu ya tano

hutaki!! JIPANGE KISAIKOLOJIA



et mwenye mvuto kwani urais ni mashindano ya urembo?
 
rais wa tanzania atakuwa dr slaa hyo lowassa akapumzike asijekufa kwenye kampeni bureeee jk akae mpaka december kama mkpa
 
RFA zi chombo cha Dialo ambaye ameshaweka wazi kuwa Lowassa sio mtu wake?
Hata hivyo wacha jina likatwe ili tushudie MAAMUZI MAGUMU atakayochukua!

Akikatwa anahamia chadema tunampa kura zetu ila slaa simpi ng'oo na hawezi kuwa Rais wa nchi hii hata siku moja
 
Ccm hawajafikia huko kumfukuza lowasa! wanawapma akili tu !wakimfukuza lowasa watampa nan apeperushe bendera jifkirie na jjbu mwenyewe
 
wamkate na nawaza kwanguv tu, akikamata magogoni shosti yake atapona kweli, alivyomdhalilisha kipindi cha richmond lazma na yeye atamuescrow wallah tena
 
hivi watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe slaa urais??????

unapenda rushwa sana wewe,sasa unadhani wote wanapewa hizo rushwa?muulize jk kilichompata 2010.bila vyombo vya dola na NEC sasa hv angekuwa amesahau urais.
 
EL ni fisadi tishio la taifa letu Tanzania!!
Aliteka kampuni ya Jumuia Tour,...
mashamba ya Bwn Miller PPF Njiro.
Hisa za kibabe AirTel, Voda etc!!Anachota fedha kwa ulaini za kijizi!!
Akahamisha fedha kununua mijumba London, Trafager, Leicester etc wazungu wakastuka!!
Akatuingiza mkenge wa RICHMOND, hadi tuna machungu ya gharama za umeme!!
Bado mnampigia debe awe Raisi ajaye, WTZ mmelogwa nini, tumekosa watu??
 
unapenda rushwa sana wewe,sasa unadhani wote wanapewa hizo rushwa?muulize jk kilichompata 2010.bila vyombo vya dola na NEC sasa hv angekuwa amesahau urais.

Umechanganyikiwa wewe si bure mlivyo na visabengo mngekubali aongoze nchi kama mmeshinda.fyuuuuu!!!!
 
Back
Top Bottom