Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

hivi watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe slaa urais??????

Watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe urais Lowassa au mgombea yoyote wa Chama cha Majambazi????
 
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015. Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.

Chanzo: RFA

:israel:
as simple as that?? forget my friend!!
 
Umechanganyikiwa wewe si bure mlivyo na visabengo mngekubali aongoze nchi kama mmeshinda.fyuuuuu!!!!

sheria hairuhusu kuhoji matokeo ya urais mkuu.lakini hata tume ilikiri kuwa kulikuwa na kasoro nyingi kwenye kura za urais.cdm walikusanya zile kopy za mawakala wao,walipohesabu upya walikuta cdm imeongoza kwa 61%.sasa haya mambo yangehojiwa mahakamani ingekua poa sana.
 
Ni Lowassa peke yake anayeweza kuandika kujifagilia hivi...hata mkewe haamini hiki kilichoandikwa hapa!
Narudia kusema kuwa chuki haijengi. Waliofanya dhambi ya kuwagombanisha CCM hawatasemehewa hata na mashetani kuzimu! Wapo wanafahamika lakini Bahati nzuri wao ni dhaifu na hawakubaliki kutokana na u dhaifu na janja yao!
 
Nani kakuomba kura wewe??
Mpe huyo Boss wako mtoa rushwa makanisani hadi misikitini!!
 
Ana mvuto kwako, sio kwa wengine! Kwa taarifa yako sisiemu watamsimamisha Dr. Shein, na kwa sisiemu watamnunulia mvuto Dr. Shein, ingawa simkubali ila ni mara 1000 ya fisadi EL. JIPANGE KISAIKOLOJIA, yaani jipange kweli!

Hatutaki kutawaliwa na rais wa nchi nyingine. Wenyewe tunatosha kabisa. Atawalenhuko huko kwao.
 
Kama Kikwete pamoja na kuzitosa kura za wafanyakazi lakini alienda Ikulu,unafikiri kuna madhara kwa Slaa kuikosa kura yako?
Hata usipompa,mama zako,baba zako,wajomba,shangazi na nduguzo wengine watakusaidia kumpigia kura dr Slaa.Usijali kabisa.
Akikatwa anahamia chadema tunampa kura zetu ila slaa simpi ng'oo na hawezi kuwa Rais wa nchi hii hata siku moja
 
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015. Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.

Chanzo: RFA

:israel:
Unajua wewe huenda no mwana ccm wa juzi hujui taratibu na kanunu za chama unaposema Ana eweza kukatwa kutoka wagombea no mini chama kimetoa fomu za wagombea had I waanze kukata.hakika Vijana wa ccm wengine akili za kibavicha sana.simple logic kwa MTU mwenye akili unakataje Jina LA Lowassa wakato hats hajawahi kutangaza atagombea zaidi ya tetesi
 
Back
Top Bottom