hivi watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe slaa urais??????
teh teh teh teh teeeeeeh Nilikuwa namsemea mtu anayedaiwa analipwa vizuri zaidi mkuu, pole kwa hasira hiyo, najua kuna walio wengi ambao hata hiyo 120,000/- hawajawahi kuishika, hawajui hata 20,000 waipateje kupeleka watoto shule na wanapoomba huruma wanaambiwa BORA WASIZAE. Nilitarajia swali lako litakuja tu kwa namna Fulani. Asante kunisaidia. Wafanyakazi weng wanaopata 500,000 ni wale waliosoma sana kwa muda mrefu na vikwazo kupitiliza, wengine ndio wenye vyeo maofisini ambako wanayo dhamana juu ya vitu vyenye thamani ya mabilioni ya shilingi kama sio mamilioni lakin ati waendelee kuwa waaminifu tu. Nani anaweza kuwa mwaminifu kutunza ugali ilhali ana njaa kali na hajui familia itakula nini leo? Wanaojilipa sana ndio hao wanaotuambia tungejee kulipwa mbinguni, nadhani wenyewe wameshajua kwamba mbinguni hawatakiwi.
Nafarijika kwamba unawaambia wanajamvi kwamba ni kweli wasionacho wanatumiwa vibaya. Huyo wa mamilioni ya net pay hamwagi jasho jingi kama wewe, lakini nao uhakika wa maisha yake hata baada ya kustaafu au hata familia yake itaweza kuishi siku nyingi zaidi kwa uhakika wa mahali pa kulala na chakula na elimu bora kuliko ya kwako. WOTE Ni MAFISADI tunazidiana ukali wa ngazi tu. Kwa hiyo bora fisadi ambaye anatamani na wengine wanyenyuke kuliko fisadi anayezuia wengine wasipate maisha bora na kudai mamilioni anayofisadi ni visenti tu. Bora mhindi anayevuna mabilioni ya pesa nchini kwetu na kujenga maghorofa tele kulikoni yule anayevuna na kupeleka Canada akawekeze huko na kutanua. Ni mtizamo tu, tunaweza kutofautiana.NAZIDI KUPATA MIHASIRA HAPA..aagghhhhhrrrrr!!!!!!!!!! yaani nimepita hapa mezani kwa bosi wangu mmoja nakuta P/slip yake ya mwezi dec 2014 gross pay ni tsh: 28,945,000/=
madha f....ck!!!!!!!
mimi nimepokea net 84.300/= eti nimekatwa na makato yao. manina zao
Jamani jamani msitumie maneno ya kujiumiza wenyewe lolote laweza kutokea hata kama ni kwa 1% ujuelowasa akiondolewaa kwenye chama najiuaaa hiyo n kitu kisichowezekanaaa
Erythrocyte Bahati mbaya your political product attracts less customer in the political market! I mean customers preference towards your product is low! Try to introduce another product to the market possibly it might sell!Waimbaji wa Tanzania hata masikini kama wewe unaweza kuwanunua tu , bei yao iko chini mno , aliyofanya lowasa wayaone waimbaji tu !
pole pole bassssNAZIDI KUPATA MIHASIRA
HAPA..aagghhhhhrrrrr!!!!!!!!!! yaani nimepita hapa mezani kwa bosi wangu
mmoja nakuta P/slip yake ya mwezi dec 2014 gross pay ni tsh:
28,945,000/=
madha f....ck!!!!!!!
mimi nimepokea net 84.300/= eti nimekatwa na makato yao. manina
zao
Anategemea nguvu ya RICHMONDE na EPA wala hakutegemei wewe choka mbayautakatwa wewe.lowassa anategemea nguvu ya wananchi si ya viongozi
Taarifa za ndani toka cc ya ccm, zinadai kuwa Lowasa hata akifurukuta vipi kwa sasa ccm haiwezi kumpitisha kutokana na masuala mbalimbali yanayomkabili.habari za ndani zimedokeza kwamba jina lake litakatwa mapema kabla halijaingia kwenye uchaguzi wa wajumbe,ambako anadaiwa kuwa na nguvu ya zaidi ya sailimia 75.baadhi ya mambo yanayomkabili ni pamoja na
1.Suala la Afya yake ccm haiwezi kumpitisha urais wakati afya yake imeshindikana kutibika.
2.Uadilifu ndani ya chama 0,ccm haimwamini kama anaweza kufanya ipasavyo bila kukigawa chama makundi.
3.Jazba na visasi ni tatizo kwa lowasa.
Rubish ya Kufunga Mwezi February
Taarifa za ndani toka cc ya ccm, zinadai kuwa Lowasa hata akifurukuta vipi kwa sasa ccm haiwezi kumpitisha kutokana na masuala mbalimbali yanayomkabili.habari za ndani zimedokeza kwamba jina lake litakatwa mapema kabla halijaingia kwenye uchaguzi wa wajumbe,ambako anadaiwa kuwa na nguvu ya zaidi ya sailimia 75.baadhi ya mambo yanayomkabili ni pamoja na
1.Suala la Afya yake ccm haiwezi kumpitisha urais wakati afya yake imeshindikana kutibika.
2.Uadilifu ndani ya chama 0,ccm haimwamini kama anaweza kufanya ipasavyo bila kukigawa chama makundi.
3.Jazba na visasi ni tatizo kwa lowasa.
Taarifa za ndani toka cc ya ccm, zinadai kuwa Lowasa hata akifurukuta vipi kwa sasa ccm haiwezi kumpitisha kutokana na masuala mbalimbali yanayomkabili.habari za ndani zimedokeza kwamba jina lake litakatwa mapema kabla halijaingia kwenye uchaguzi wa wajumbe,ambako anadaiwa kuwa na nguvu ya zaidi ya sailimia 75.baadhi ya mambo yanayomkabili ni pamoja na
1.Suala la Afya yake ccm haiwezi kumpitisha urais wakati afya yake imeshindikana kutibika.
2.Uadilifu ndani ya chama 0,ccm haimwamini kama anaweza kufanya ipasavyo bila kukigawa chama makundi.
3.Jazba na visasi ni tatizo kwa lowasa.
utakatwa wewe.lowassa anategemea nguvu ya wananchi si ya viongozi
Wafuasi wanasema atashinda hata kama jina litakatwa.wafuasi mandazi