watu makini hawaongozwi na misingi ya geographical location bali quality leadership... Maybe umakini wako unaishia kwenye kukata gogo tu
lowasa akiondolewaa kwenye chama najiuaaa hiyo n kitu kisichowezekanaaa
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015. Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.
Chanzo: RFA
:israel:
Mungu akupe subila mh.lowasa, na uendelee na ukimwa wako bila kujibu ila mapambano yaendelee cc tunasubilia ushindi wa tsunami ili wajue kuwa unakubalika na unauzika ila watu tunaogopa tu kusema maana kuna viongozi wanatulazimisha tusikuchague. Hakuna mwingine atakae weza fikisha hata nusu za hoja zako.
Safari ya matumaini
atang'oka tu ccm hatuwezi kumsimamisha fisadi,aende huko ukawa kwa wakaskazini wenzake na mapadri,halafu hao wasijisumbue ccm tuna historia ya kusimamisha wagombea wasio na kashfa ya ufisadi na wenye uzoefu kwenye international relation nadhani wenye akili wamenielewa
Ni membe pekee
Jamani mmi najiuliza ccm wanahitaji mtu atakayeleta ushindani kwe uchaguzi kweliiii au ndo ile tukose wote!!! Kuna nni nyuma ya pazia linalowafanya baadhi ya wana-sisiem kufight sana ili jamaa lowasa asiwapeperushie bendera uchaguzi huu? Kuna nini kisichopendwa na hawa jamaa? Lowasa anatatizo gani hasa ndani ya chama ukilinganisha na wengine? Nini matokeo yake endapo hawatampa ridhaa yakupeperusha bendera na nini kitabiliwe endapo atapenya kwe hivi vizuizi na kwa bahati mbaya sana akaenda magogoni?. Nasema bahati mbaya coz naimani na ukawa kushika hatamu from october.
Naomba kujuzwa tafadhali!!
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.
Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!
Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.
Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!
kama lowasa ataingia magogoni kwa miujiza, kikwete atafute nchi ya kwenda kuishi kwa kuwa amechangia sana kurudisha nyuma maendeleo ya kisiasa ya lowasa. aidha, JK ajiandae kurudisha yale mabilioni ya fedha aliyochukua kutoka kwa mafisadi wa EPA.
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015. Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.
Chanzo: RFA
:israel:
Watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe urais Lowassa au mgombea yoyote wa Chama cha Majambazi????