Kama ufisadi watanzania wote ni mafisadi. Tunazidiana viwango tu. Mwenye ufisadi usiolipa sana anamwonea wivu mwenye ufisadi wenye tija. Kwani Mtanzania inakuwaje anaweza kuishi kwa mshahara chini ya laki Tano kwa mwezi, yeye na familia ya watu SITA tu ya kisheria, katika bei juu kwa kila unachokigusa,nauli za daladala zilizopo, decently ukapeleka watoto shuleni msingi, sekondari na vyuo wakati huo unalisha waliomo ndani ya nyumba yako wajomba na shangazi na uwapelekee wazazi wenu wa kikke na kiume mahitaji ya lazima, usisahau bili za kila mwezi za maji na umeme na mawasiliano mpaka whatsapp? kama wewe sio fisadi sema sasa, unaishije na kwa mshahara huo unaweza kulipa pango la nyumba kila mwezi na pia nakuona uko nadhifu sana unaogea sabuni na kupaka mafuta nywele zako? Sema sasa....Ammmah! Si useme tu? Lowasa....Lowasa....kila kukicha, Lowasa.....Kumbe kweli nyani haoni masaburi yake. Na huyo nyumba ndogo yako unaranda bure hata soda au maji uhai humpi?
Acha ushororo wewe, Lowasa kama alivyo binadamu yeyote anazo kasoro zake lakini uzalendo anao. Leo hii sema kama Shinyanga wangepata maji kutoka ziwa Victoria kwa hofu ya mikataba ya kikoloni kuzuia Tanzania iniwape watu wake maji ili Farao amwagilie maua yake? Kwa hiyo unataka nani agombee uraisi wakati wewe umedwarf?