valentinypaul
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 246
- 28
Mimi ni mwanaccm damdam lakini nko tayary kuwapa kura yangu wapinzani aka UKAWA
Ana mvuto kwako, sio kwa wengine! Kwa taarifa yako sisiemu watamsimamisha Dr. Shein, na kwa sisiemu watamnunulia mvuto Dr. Shein, ingawa simkubali ila ni mara 1000 ya fisadi EL. JIPANGE KISAIKOLOJIA, yaani jipange kweli!usiwe mjinga kama mbayuwayu usilete ukabila wako humu
lowassa ndio mtu pekee mwenye mvuto ndani ya ccm na cc hlo ndilo tunajua sisi na ndiye Raisi wako wa awamu ya tano
hutaki!! JIPANGE KISAIKOLOJIA
Mimi ni mwanaccm damdam lakini nko tayary kuwapa kura yangu wapinzani aka UKAWA
Rais wa awamu ya tano Dr Slaa. Hao wengine hao wanaopoteza muda tu!
mgombea urais hapaswi kuwa na kashfa ya ufisadi,lowasa ni fisadi.
usiwe mjinga kama mbayuwayu usilete ukabila wako humu
lowassa ndio mtu pekee mwenye mvuto ndani ya ccm na cc hlo ndilo tunajua sisi na ndiye Raisi wako wa awamu ya tano
hutaki!! JIPANGE KISAIKOLOJIA
Hapa wanaoweweseka ni CCM au vibaraka wa Mzee Slaa akina tpaul ?
Uwezekano wa hilo kutokea ni mdogo kwa sababu ya uwezo wa chama tawala kuchakachua matokeo (kuiba kura) nilichojifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni kwamba uchakachuaji unafanyika kimfumo (systematically).Rais wa awamu ya tano Dr Slaa. Hao wengine hao wanaopoteza muda tu!
hivi watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe slaa urais??????
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.
Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!
Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.
Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!
Uwezekano wa hilo kutokea ni mdogo kwa sababu ya uwezo wa chama tawala kuchakachua matokeo (kuiba kura) nilichojifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni kwamba uchakachuaji unafanyika kimfumo (systematically).