Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Simon Sirro amehamishiwa makao Makuu ya jeshi hilo kushika nafasi ya aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Oparesheni Maalum Venance Tossi ambaye amestaafu.
Katika uhamisho huo nafasi yake itashikiliwa na kamanda wa mkoa wa Tabora Barow Lyimo. Hata hivyo inasemekana uhamisho huu unamsukumo na mkono wa CCM kutokana na madai kuwa hakukisaidia chama wakati wa uchaguzi.
Katika uhamisho huo nafasi yake itashikiliwa na kamanda wa mkoa wa Tabora Barow Lyimo. Hata hivyo inasemekana uhamisho huu unamsukumo na mkono wa CCM kutokana na madai kuwa hakukisaidia chama wakati wa uchaguzi.