Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Hamna namna ,awabane tu mpaka wote wapate tezi dume.
Lowassa, Mabadiliko......
Mabadiliko, Lowassa......

Hapana bana mkuu LOWASA awe na huruma hivi kwani hajui kuwa ccm ndo ipo madarakani?
Sasa mbona anawanyima usingizi hivo?
Mbaya zaidi kila wakimshambulia yeye kimya huwa hana mda nao we wadhani ccm wanajisikiaje ilighali wana mioyo ya nyama.
wametukana wapi mzee hajibu, Sasa hata mzee joseph warioba katupilia mbali katiba ili kujaribu kuiokoa ccm lakini wapi na mkapa sasa kaanza ziara lakini wapi maana mzee ben hata kwa nasari kule meru alienda kumnadi sioyi akala za uso na sasa amebaki kupaniki na kutukana maana mambo hayaendi

LOWASA waonee huruma ccm tafadhali nao wana mioyo ya nyama.
 
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka UKAWA Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.

https://instagram.com/p/7h4CQiKttP/
 
Endeleeni kudanganyana mitandaoni,huko site hii ndio hali halisi

1.jpg

Umati wa wakazi wa Musoma mjini wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli ambaye aliahidi kutatua kero ya Maji,Bara bara, Elimu na huduma za Afya.

1.jpg


3.jpg

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa nyamongo ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha makampuni ya kuchimba madini yanaweka wazi taarifa zao.

7.jpg


wakazi wa Tarime kwenye mkutano wa kampeni.

26.jpg


27.jpg


Wakazi wa Ikindilo wakimsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.



 
Hakuharibika ubongo.,the mzee had an intact functional brain cells,huyu mlanguzi wenu hawezi hata kushika MIC ,central command is getting degenerated as the time is numbered ,hata form anasainiwa...
NOTE THE DIFFERENCE PLS


Kwani wewe ulishawahi ugua huu ugonjwa..vp Mungu akikuangalia unavyombyanyapaa lowasa akaukupa tukufukuze kazi?
 
Hata geita tunamsubiri rais anayesubiri kuapishwa kwa hamu kubwa ,lowassa ndio tumaini la wanageita na vitongoji vyake viva lowasa
 
Hizi picha za kupiga watu kwa ukaribu ili fuficha background hizi!!!!!!!!!!!!????????????
 
Endeleeni kudanganyana mitandaoni,huko site hii ndio hali halisi

1.jpg

Umati wa wakazi wa Musoma mjini wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli ambaye aliahidi kutatua kero ya Maji,Bara bara, Elimu na huduma za Afya.

1.jpg


3.jpg

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa nyamongo ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha makampuni ya kuchimba madini yanaweka wazi taarifa zao.

7.jpg


wakazi wa Tarime kwenye mkutano wa kampeni.

26.jpg


27.jpg


Wakazi wa Ikindilo wakimsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.




Huu usafiri wa hao mifugo mmeipaki wapi?
Siku ya kupiga kura mtawasomba tena!?
 
Hapana bana mkuu LOWASA awe na huruma hivi kwani hajui kuwa ccm ndo ipo madarakani?
Sasa mbona anawanyima usingizi hivo?
Mbaya zaidi kila wakimshambulia yeye kimya huwa hana mda nao we wadhani ccm wanajisikiaje ilighali wana mioyo ya nyama.
wametukana wapi mzee hajibu, Sasa hata mzee joseph warioba katupilia mbali katiba ili kujaribu kuiokoa ccm lakini wapi na mkapa sasa kaanza ziara lakini wapi maana mzee ben hata kwa nasari kule meru alienda kumnadi sioyi akala za uso na sasa amebaki kupaniki na kutukana maana mambo hayaendi

LOWASA waonee huruma ccm tafadhali nao wana mioyo ya nyama.
Huyo ndiyo kiongozi ambaye hata vyombo vya ulinzi na usalama vinamkubali.
 
Endeleeni kudanganyana mitandaoni,huko site hii ndio hali halisi

1.jpg

Umati wa wakazi wa Musoma mjini wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli ambaye aliahidi kutatua kero ya Maji,Bara bara, Elimu na huduma za Afya.

1.jpg


3.jpg

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa nyamongo ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha makampuni ya kuchimba madini yanaweka wazi taarifa zao.

7.jpg


wakazi wa Tarime kwenye mkutano wa kampeni.

26.jpg


27.jpg


Wakazi wa Ikindilo wakimsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.





Hayo ni matokeo ya malory na matipa na wa nguo ndo ujazo huo wa watu hayo hata huku tulipo yametokea na tumeshuhudia swala kama ana dhani watu hao wata mchagua hebu magufuli athubutu kuwauliza Raisi wenu naniiii...aone majibu yake haahaa
 
Hii itasaidia nchi yetu kujitegemea na kutoomba misaada 100% ambayo inaleta ushoga kama unawashabikia ulaya wewe ni sh.o..ga

Wanapata nguvu ya kutunanga kwa sababu wamezoea safari hii tumezungusha kopo la kuomba maada karibia kila nchi duniani bado tukijifu ati tunapendwa sana kumbe wanataka kutugodon. Naogopa isijekuwa tayari, maana wazungu hawachelewi. Tutayasikia baada ya uchaguzi
 
Wakuu samahani kwa kuchelewa kuwapa picha za Lowassa akiwa Singida Leo kwa hapa Jamii Forums ni kwa sababu nilipata matatizo ya kuibiwa simu mchana wa leo ila mwana wa lowassa nimerudi tena. Balaa la Lowassa linaendelea na Leo ni historia kwa mkoa wa Singida
 

Attachments

  • 1442083706864.jpg
    1442083706864.jpg
    27.8 KB · Views: 712
  • 1442083726101.jpg
    1442083726101.jpg
    26.7 KB · Views: 683
  • 1442083745155.jpg
    1442083745155.jpg
    115.3 KB · Views: 697
Back
Top Bottom