Maligisa James
Member
- Aug 22, 2015
- 30
- 9
Tatizo wengi wanatumia muda wao kumjadili na kumsema badala ya kumwombea, yawezekana angekuwa ameshaimarika. Mungu tunaomba umponye mzee wetu, japo hatujajua mambo yatakuwaje baada ya tarehe 25 Oktoba,2015.
Itakuwa pungufu ya ile ya kutibu tezi dumeAkiwa Rais muandae fungu la kutosha la matibabu
Kibaki alipata ajali wewe mburula.aliumia miguu,usilete irrelevant correlation ,huyu Low~Hasa ,ana shida upstairs ,yaani brain cells zina degenerate ,it will.only get worse with time.Siasa nyepesi kama Sufi au pamba. Wakenya walimchagua Emily Kibaki akiwa kwenye Wheel chair yaani baiskeli ya kukokota wagonjwa baada ya kupata ajali akiwa kwenye kampeni. Kikwete alidondoka Mara ngapi jukwaani mbona tulimchagua kwa kishindo? Zamu ya Lowassa hata akilazwa kura yangu na familia yangu ni zake
JK kamanda wa kweli JWTZ achana na huyu graduate wa sanaa za maonyesho. Mara zote mbili Kikwete alikuwa kwenye swaumu na ilikuwa dehydration tu. Kwa sisi tunaofunga tunaelewa what goes on hasa ukijitumikisha sana wakati mwili hauwi replenished accordingly.Kikwete alishawahi kudondoka kabisa jukwaani,na alishinda Urais,we una shangaa kudondosha mic!
Huyo ndo Rais kwa taarifa yako
Hakuharibika ubongo.,the mzee had an intact functional brain cells,huyu mlanguzi wenu hawezi hata kushika MIC ,central command is getting degenerated as the time is numbered ,hata form anasainiwa...In 2002 kibaki was so sick during the campaign after a massive accident that during the campaign and swearing in on a wheelchair.....hata kampeni was done by odinga, saitoti na late wamalwa...Please be objective and realisticin your commentaries.
Parkinson's na dementia vinavuruga ubongo mkuu. Hii kutetemeka ni symptoms tu kazi hasa ni huko kichwani. Ugonjwa ukikolea huwa hawakumbuki cho chote na kujinyea ni jambo la kawaida na wala hawajui kuwa wamejinyea. Sasa ata-delegate nini wakati wala atakuwa hajui kinachoendelea? Na ugonjwa huu hauna tiba. Go figure!Hivi urais ni kubeba vyuma au zege jamani? au ni ku-delegate majukumu tu,, Lowasa mbona mi naona yuko fit sana tu.
Hiyo delegation inafanywa na ubongo kiongozi ,yeye ana dalili za kiharusi ,kuonesha cell za ubongo zina shida ,kama atatumia masaburi kufikiria ili kutoa maamuzi sawa,akitumia ubongo tayari ni shida.Hivi urais ni kubeba vyuma au zege jamani? au ni ku-delegate majukumu tu,, Lowasa mbona mi naona yuko fit sana tu.