Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Lowasa mzee waonee huruma ccm mbona hivyo hivi we mzee Lowasa unajua idadi ya vikao vinavyo fanywa na makada, hivi unajua gharama ccm walizoingia hadi sasa kwajili yako wame nunua watu akiwemo slaa & co, wasanii, vijanaa wa kufanya vurugu, matangazo kibao na mabango pia lakini yote wameshindwa vikao vyao vyaendelea waone namna ya kufanya maana we mzee umeshindikana.

Yaani unawapa tabu sana mzee ebu waahidi basi walau utaunda serikali mseto
maana wana haha magharama yao watarudishaje ilighali wameshatumia miguvu kibao lakini bado upepo mbaya kwao ccm.

Ewe lowasa waonee ccm huruma nao ni binadamu.
 
Kwani uchaguzi usifanyike sasa maana ccm inatuudhi sana tunataka tuichinje mapema kabisa.lowasa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,ukawa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wanahesabu vituoni... mawakala wote wana saini kuonyesha kukubaliana na matokeo then yanabandikwa ukutani hapo hapo...

Mwaka huu hakuna cha mabox kuletwa Dar kwanza ndio mambo yawe wazi....

Ukawa washaanzisha tallying centre hivyo watakuwa wanapokea matokeo kwa mawakala na kujumlisha kisha kutoa matokeo halisi kabla ya tume...
fungu la mawakala mbona liko tayari.
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe


.
Jk alianguka kifafa mkutanoni mwa kampeni na ikulu akaenda sembuse Lowasa kudondosha mic?
ikulu tunampeleka Lowasa saa nne asubuhi ya tarehe 25 octobar.
.
 
Hata msemeje lowassa ndiye rais Wa Tanzania mtaangaika sana safari hii mmeshikwa pabaya.
 
Mbona watu wananyuso za huzuni sana

Ni malofa katika ubora wao wanawaza hivi kwanini chenge aruhusiwe tena kugombea mbona tume ya maadili haikufanya kazi yao km kwa kiti cha urais..au kwakuwa kina ridh watamtumia kuwatetea wakiwekwa ndani
 
Hìi naomba startv wasionyeshe watanivunjia ka tv kangu na roho zao mbaya
 
Singida inampa Lowassa kura zote,SiSiem sijui watajifichia wapi october 25.
 
Lowasa mzee waonee huruma ccm mbona hivyo hivi we mzee Lowasa unajua idadi ya vikao vinavyo fanywa na makada, hivi unajua gharama ccm walizoingia hadi sasa kwajili yako wame nunua watu akiwemo slaa & co, wasanii, vijanaa wa kufanya vurugu, matangazo kibao na mabango pia lakini yote wameshindwa vikao vyao vyaendelea waone namna ya kufanya maana we mzee umeshindikana.

Yaani unawapa tabu sana mzee ebu waahidi basi walau utaunda serikali mseto
maana wana haha magharama yao watarudishaje ilighali wameshatumia miguvu kibao lakini bado upepo mbaya kwao ccm.

Ewe lowasa waonee ccm huruma nao ni binadamu.
Hamna namna ,awabane tu mpaka wote wapate tezi dume.
Lowassa, Mabadiliko......
Mabadiliko, Lowassa......
 
European Union makao makuu yake Ni Brussels,Belgium sio Athens.
statement rasmi inayotolewa na European union inatolewa kutoka Brussels na European union commissioner au European union president au European union speaker au European union spokesperson
hii statement unaweza kuwa ya kufoji au maoni ya mtu binafsi.
 
Umeua kiongozi ,hawa mburula hawawi objective, ukiwabana sana hapo watasema hata ukiweka.jiwe watachagu tu ,wakifikia hatua hiyo haina namna ya kuwasaidia.
Mbowe anajua wazi hali ya Lowasa ,na anafurahia coz anajua yeye ,DJ,na Mkwewe Mtei ndo wataongoza by proxy.Wamtumia babu mamvi kama mtaji wa kuongeza pesa za ruzuku kwa kupata majimbo mengi ,

Kwani magufuli ni mzima?- F. Sumaye
 

Attachments

  • IMG-20150912-WA0068.jpg
    IMG-20150912-WA0068.jpg
    205.9 KB · Views: 281
  • IMG-20150912-WA0076.jpg
    IMG-20150912-WA0076.jpg
    123.2 KB · Views: 263
  • IMG-20150912-WA0069.jpg
    IMG-20150912-WA0069.jpg
    238.9 KB · Views: 252
  • IMG-20150912-WA0071.jpg
    IMG-20150912-WA0071.jpg
    246.6 KB · Views: 261
Mbona mafuriko yanaendelea kupungua kila tarehe ya uchaguzi inavyokaribia!
 
Back
Top Bottom