Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Mamamamamamamamama lowasa raisi..tukihitimisha mwanza bhass haitajiki kampen tena
Kama utani hivi tulianza hatimaye ukombozi kutoka kwenye familia flani tokea msoga unatimia
 
Tusiwe mahakimu wengi mahakama ya mafisadi ikianza ndo itajulikana nani fisadi nani anasingiziwa. Mbona tunawahi kabla ya wakati, after all Magufuli sio hakimu hata aanze kuhukumu watu majukwaani.
 
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka UKAWA Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.

Jamaaa umenifurahisha vna mengi Aluta kontinua.
 
Ikiwa ni siku tulivu kabisa mhe. Ngoyai anatarajiwa kuwasili mjini Singida mishale ya saa sita akitokea mkoani Dodoma ampapo atafanya mkutano wa kihistoria kwenye viwanja vya peoples kuanzia saa 10 jioni. Maandalizi yamekamilika mji mzima ni shamra shamra kuashiria uwepo wa kiongozi mkubwa.
……………………………………………………………………………………

Nimeshapiga kambi hapa uwanjani kwa ajili ya kuwaletea updates kwa kila kitakachokuwa kinajiri.
……………

Stay tunes for updates and photos

Kamanda asiyevaa gwanda ni rahisi kuwatosa askari wake.
 
CCM kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Yaani ya Jana Dodoma, na leo SINGIDA....basi, wala hakuna haja ya CCM kuongea tena, CCM imeshakufaaaaa...

Lowassa, Ukawa, mpango wa Mungu...

Yaani, watu kama UTITIRIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII... jamanii...!!!✌✌✌✌
 
dUH KAMA hawa wote watapiga kura...yaani Lowasa raisi mapema 26 october. Hongera zake..hope hakukuwa na Fiesta iliyosababisha nyomi....
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe

anatetemeka kweli lkn ndo tumempenda wenyeweeeee
 
Leo kaongea dk mbili hahahahaha....Lowsa kweli mgonjwa.
 
Lowasa tuu hata museme nini ni lowasa tuuu

lakini mkuu tumia logic angalau kidogo,huyu mtu anaumwa,anatakiwa mapumziko,mi nashauri uchaguwe magufuli,,,,,,achana mambo ya kishabiki bana
 
Ha ha ha hà ha ha ha ha...ikulu hakuna wodi ya wgonjwa akawe Rais wa mafisadi tu.
 
Back
Top Bottom