Upinzani upi wewe Manyoni majimbo yote ni ya CCM wala hakuna upinzani wa kusumbua. Manyoni magharibi Lupaa alikua ana nafasi ya kushinda kama angepitishwa Lwanji na kwa kweli mwaka 2010 alishinda ila walimchakachua na yeye pia aliuza ushindi ila mwaka huu mtu anayegombea naye hamuwezi hata kidogo.
Pili kwa taarifa yako huyo Lupaa ni mtu wa System nyie hamjui tu, mwaka 2010 kwa upande wa urais alikuwa anampigia kampeni Rais kikwete na ndo maana baada ya kushindwa ameteuliwa kama Katibu Tawala Wilaya (DAS-Mbulu) umeona wapi mtu akagombea kwa tiketi ya upinzani na akashindwa na kupewa cheo Serikalini?
Chama Cha Malori.
asante sana mkuu .Wakuu samahani kwa kuchelewa kuwapa picha za Lowassa akiwa Singida Leo kwa hapa Jamii Forums ni kwa sababu nilipata matatizo ya kuibiwa simu mchana wa leo ila mwana wa lowassa nimerudi tena. Balaa la Lowassa linaendelea na Leo ni historia kwa mkoa wa Singida
Lemayan,kwanini unadhani lowasa anafaa kuwa raisi?Atapita tu kwa maana hamna namna
Asante kamanda ila uwe u.aweka na vidioz tunakuombaWakuu samahani kwa kuchelewa kuwapa picha za Lowassa akiwa Singida Leo kwa hapa Jamii Forums ni kwa sababu nilipata matatizo ya kuibiwa simu mchana wa leo ila mwana wa lowassa nimerudi tena. Balaa la Lowassa linaendelea na Leo ni historia kwa mkoa wa Singida
Bukanga nakuamini sana .
European Union makao makuu yake Ni Brussels,Belgium sio Athens.
statement rasmi inayotolewa na European union inatolewa kutoka Brussels na European union commissioner au European union president au European union speaker au European union spokesperson
hii statement unaweza kuwa ya kufoji au maoni ya mtu binafsi.
Vijana wameshikiwa akili zao kwa muda waturudishiwa baada ya uchaguzi wakati huo Magufuli ameshaapishwa. Nguvu za nigeria haziwezi kushinda mbele ya nguvu za nuru