Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

acha wao waporomoshe matusi ndo kwanza wanazidi kumpa baraka mzee wa watu
 
Jamani anae weza kunijuza.... mwenye uhakika kura za uraisi zinahesabiwa vipi plz.... maana hapa tiyari Raisi tunae je hawatachakachua hawa jamaa zetu??

Wanahesabu vituoni... mawakala wote wana saini kuonyesha kukubaliana na matokeo then yanabandikwa ukutani hapo hapo...

Mwaka huu hakuna cha mabox kuletwa Dar kwanza ndio mambo yawe wazi....

Ukawa washaanzisha tallying centre hivyo watakuwa wanapokea matokeo kwa mawakala na kujumlisha kisha kutoa matokeo halisi kabla ya tume...
 
Umesahau mkuu kuuonyesha ulimwengu kuwa urais wa Tanzania sio wa ukanda..!!
 
Tumechoka na picha, mambo yote October 25.!
 
Back
Top Bottom