manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
Iwe ni kiongozi wa kisiasa au wa namna yeyote unaetambulika ima wa jamii au wa mtaa jaribu kuomba hii ukapate exposure na maarifa.
kama una mda jaribu kuomba, ukienda huko hupewi pesa ila mambo ya usafiri, malazi na chakula watakugharamia wao.
Ama kama unamfahamu mtu yeyote ambae ni kiongozi mfikishie huu ujumbe
Jamii Forum
Be the first to know
kama una mda jaribu kuomba, ukienda huko hupewi pesa ila mambo ya usafiri, malazi na chakula watakugharamia wao.
Ama kama unamfahamu mtu yeyote ambae ni kiongozi mfikishie huu ujumbe
Jamii Forum
Be the first to know