Mbona mitandao ya simu ni private na mambo ni muswanu tu?Mziki mtakaoupata mkiweka private hamtakoma
Zaidi ya Magufuli waliyemuua, Tanzania hatuna viongozi wa maana....they're all incompetent., wao wanawaza kuiba tu na kujitajirisha wenyewe.Hivi hili shirika lina tija kwa Tanzania na watanzania? Miaka nenda rudi sarakasi za TANESCO haziishi. Ahadi za watendaji na wanasiasa kuhusu TANESCO zinatolewa kila mwaka. Lkn hakuna jipya.
Swali la msingi ni kwann halifutwi shirika hili??
Competency ya jiwe mnaiona ktk lipi? Labda ktk kuua, kuteka, kufilisi, kupora na kupiga watu risasi!Zaidi ya Magufuli waliyemuua, Tanzania hatuna viongozi wa maana....they're all incompetent., wao wanawaza kuiba tu na kujitajirisha wenyewe.
Na Majukumu yake yafanywe na NANI?Nashauri hili shirika lifutwe kabisa halina faida hata kidogo. Kama ambavyo shirika la elimu kibaha lilivyofutwa basi na Tanesco nalo lifutwe.
Jamaa kasema lifutwa maana yake halitakuwepo elewa kiswahili mkuuKwani jukumu la kwenda na kukata umeme kuna mtu atashindwa? Hilo hata mimi nikipewa naweza kulitimiza.