Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,772
- 4,913
Huo ndo uhalisia Zanzibar isingekuwa ndani ya Muungano ungekuta tayari Kuna vikundi vya kigaidi vimechukua utawala
Tutakua wajinga kuwaachia ndugu zetu wanzibar wabaki bila ulinzi wa TANZANIA
Kama viongozi wao Kwa ulevi TU wa madaraka watavunja Muungano Kwa namna yoyote hatakubali ulafi wao wa madaraka
Tutaigawanya Zanzibar Kwa mikoa au majimbo ya Tanzania
Tutakuwa na Jimbo la Pemba na unguja
Kwa sasa serikali ya mapinduzi inawalemea TU wananchi wake kuendesha serikali ambayo ungeweza kuongozwa na viongozi wachache TU
Wakuu wawili wa mikoa au magavana wawili TU
Tumeona baadhi ya choko choko zao kwenye huu uchaguzi kuchochoea chuki Ili Muungano uvunjike
Ila hao viongozi wajiandae kupoteza hizo nafasi zote za kinyonyaji Kwa wanzabar
wabunge kibao madiwani Marais watatu wa Zanzibar mawaziri kibao
Hizi zote ni unyonyaji TU Kwa raia maskini wa Zanzibar.
Hizi zote sio nafasi za kuwatumikia wananchi wa kizanzbar bali ni unyonyaji TU
Mbunge unalipwaje mamilion kwenye Jimbo la watu elfu tatu , hata huoni aibu
Tutakua wajinga kuwaachia ndugu zetu wanzibar wabaki bila ulinzi wa TANZANIA
Kama viongozi wao Kwa ulevi TU wa madaraka watavunja Muungano Kwa namna yoyote hatakubali ulafi wao wa madaraka
Tutaigawanya Zanzibar Kwa mikoa au majimbo ya Tanzania
Tutakuwa na Jimbo la Pemba na unguja
Kwa sasa serikali ya mapinduzi inawalemea TU wananchi wake kuendesha serikali ambayo ungeweza kuongozwa na viongozi wachache TU
Wakuu wawili wa mikoa au magavana wawili TU
Tumeona baadhi ya choko choko zao kwenye huu uchaguzi kuchochoea chuki Ili Muungano uvunjike
Ila hao viongozi wajiandae kupoteza hizo nafasi zote za kinyonyaji Kwa wanzabar
wabunge kibao madiwani Marais watatu wa Zanzibar mawaziri kibao
Hizi zote ni unyonyaji TU Kwa raia maskini wa Zanzibar.
Hizi zote sio nafasi za kuwatumikia wananchi wa kizanzbar bali ni unyonyaji TU
Mbunge unalipwaje mamilion kwenye Jimbo la watu elfu tatu , hata huoni aibu