Wewe wasema na umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo zwazwa kwa kushindwa kujibiwa kwenye hoja na kuanza kubwabwaja ovyo tu!!Hamna aliloongea hapo, Israel na Palestine wote wehu, na ninyi supporters ndo wehu pro max, wafia dini kama mleta uzi ndio wehu pro over pro max.
Weka hoja alizoweka hapo, walau kwa ufupi tu.Wewe wasema na umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo zwazwa kwa kushindwa kujibiwa kwenye hoja na kuanza kubwabwaja ovyo tu!!
Umenionyesha wazi tena ulivyo mjinga hata tu kiingereza hujui huyo mama kaeleza kila kitu tatizo ni wewe tu Uzwazwa unakusumbua.Weka hoja alizoweka hapo, walau kwa ufupi tu.
Hamna hoja hapo ndgu, hajatoa sababu ya kwanini hataki Palestine iwe taifa huru, kwake kinachofanywa Gaza ni sahihi..
Na kweli kawachota wakristo wapumbavu, sijui Yesu gani wanamuamini anaehubiri jino kwa jino au msamaha.
Nyote nimewajumuisha, humo kwenye wehu.Umenionyesha wazi tena ulivyo mjinga hata tu kiingereza hujui huyo mama kaeleza kila kitu tatizo ni wewe tu Uzwazwa unakusumbua.
Kingine umetuonyesha wazi wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa kwa kuanza kuuongelea Ukristo mara Yesu sijui hayo yote yanahusikaje hapo??
Aksante kwa kutuonyesha ujinga na Upumbavu wako siku nyingine tusipate shida kukutambua!!