Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

In two years to come, ask my Laachi how gentle am i !
 
In two years to come, ask my Laachi how gentle am i !
 
Gentleman ni yule anaweza kuhudumia familia na lazima awe michepuko japo miwili ya kuimwagilizia mbegu

#bamia_ndefunene
 
Za usiku huu kuna bi dada fulani kwenye barabara fulani nilisikia anasema kama sina boyfriend ambaye ni gentlemen basi siwezi kaa naye.
Kabisa je kwa upande wenu nilazima uolewe au uwe na gentlemen ndio maisha ya songe ??
Je nyie wanaume wa humu nyie ni magentlemen .
Eti mnajua kudekeza nakupenda muke au g.lover wako??
Because i have seen so far that wale wanaume wanaojua kuonyesha true love wamepungua na sijui why.
Hapo umetutega kwa kweli...
Maana Kila mtu akasema yeye pia ni gentleman.

Ila utamu ya koni ajuae mlambaji sio third party.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom