Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

If she cheats that doesn’t make me any less of a man, she has chosen to do so. My point ni kua. Yaani mimi being nice haiko proportional na ninachofanyiwa na the other side, I’m not saying mimi ni fala hapana. You just move to the next person sema wadada wakibongo hawataki gentemen wanakua na adabu ukiwa cold and disrespectful so akili kumkichwa unaemuona ana gravitate katika kua treated roughly mpe hichohicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Za usiku huu kuna bi dada fulani kwenye barabara fulani nilisikia anasema kama sina boyfriend ambaye ni gentlemen basi siwezi kaa naye.
Kabisa je kwa upande wenu nilazima uolewe au uwe na gentlemen ndio maisha ya songe ??
Je nyie wanaume wa humu nyie ni magentlemen .
Eti mnajua kudekeza nakupenda muke au g.lover wako??
Because i have seen so far that wale wanaume wanaojua kuonyesha true love wamepungua na sijui why.
KIFUPI WANAWAKE WA SIKU HIZI HAWAJITAMBUI, wanapenda maisha a tv na sio ya uhalisia
 
Hata wanawake wenye true love hawapo, binti unamkuta labda anaumri wa miaka 23 lakini kaishagegedwa na wanaume hata 10, humo wako matapeli, makondakta wa daladala, Wanaume walioowa, Mcs wa vilabu vya pombe, mwalimu wake wa sekondari au chuo. Hapo mwanaume utadanganywa unapendwa lakini hakuna upendo bali ni majanga,
Simu zenu zina password kila kona, muda wote ni kuchati tu na wanaume wengine
Za usiku huu kuna bi dada fulani kwenye barabara fulani nilisikia anasema kama sina boyfriend ambaye ni gentlemen basi siwezi kaa naye.
Kabisa je kwa upande wenu nilazima uolewe au uwe na gentlemen ndio maisha ya songe ??
Je nyie wanaume wa humu nyie ni magentlemen .
Eti mnajua kudekeza nakupenda muke au g.lover wako??
Because i have seen so far that wale wanaume wanaojua kuonyesha true love wamepungua na sijui why.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom