lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,484
Fikiria mabingwa wa riadha wawili wanaaokaribia kwelikweli wanakimbia,mmoja akapata ajali akadondoka,akavunjika mguu,akaanza kujitibu akapona lakini hakuwa kama alivyokuwa mwanzo.Kuvunjika ni kuvunjika tu.
Huwezi kuwa sawa kama ulivyokuwa kabla hujavujinka.Yule mwingine akashinda mbio na sasa ndio bingwa pekee wa riadha.
Napenda kufahamu usalama wa dunia ungekuwaje leo hii kama USSR ingekuwepo leo hii kama vile ilivokuwa kabla ya kusambaratika.
Weapons race ingekuwaje,cold war ingekuwaje.Je ni sawa kuwa nasole superpower au kuwa na balance of power.?
Huwezi kuwa sawa kama ulivyokuwa kabla hujavujinka.Yule mwingine akashinda mbio na sasa ndio bingwa pekee wa riadha.
Napenda kufahamu usalama wa dunia ungekuwaje leo hii kama USSR ingekuwepo leo hii kama vile ilivokuwa kabla ya kusambaratika.
Weapons race ingekuwaje,cold war ingekuwaje.Je ni sawa kuwa nasole superpower au kuwa na balance of power.?