zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,142
- 21,471
Si hilo tu najivunia na kubeba kombe mara nyingi zaidi pia najivunia simba ametoka ubavuni mwa yangawewe unajivunia kumfunga mtani mara nyingi, ahahhaaa
Si hilo tu najivunia na kubeba kombe mara nyingi zaidi pia najivunia simba ametoka ubavuni mwa yangawewe unajivunia kumfunga mtani mara nyingi, ahahhaaa
Niumbuke kwa lipi we utopolo?Lete huo Uzi kama hujaumbuka,alieleta huo Uzi ni huyu huyu mleta huu Uzi tena ni mwana mbumbumbu mwenzako.
Lwanga ana kombe la AFC hahahahahahahha au hujuilwanga ana magoli mangapi?
Nimekuuliza? Tunaongelea magoli we unaleta mambo ya afc pumbavuLwanga ana kombe la AFC hahahahahahahha au hujui
Na aucho wanampa promo kua ni bonge la midfileder ila misimu mitatu kwenye national team hana goal, hana assist hata offtarget, ana kadi moja tu ya njano
Fundi ana paua?Wewe jamaa una chuki na aucho,hamna kiungo fundi kwenye ligi yetu kwa sasa kama aucho
Match 3 kwenye ligi yetu uwezo aliouonyesha ni mkubwa,halafu mimi sina ufala wa kufananisha wachezaji nitakuambia uwezo wa mchezaji,aucho ni kiungo wa kiwango cha juu na sikulazimishi amini unachokiaminiFundi ana paua?
Mi nina chuki au ninamuelezea namna alivyo?
Haya wewe ambaye huna chuki ebu nipe comparison kati yake yeye na chama kwa statistics yupi bora zaidi ya mwenzake, maana hapo ndio tatizo lilipoanzia mpaka mimi siishi kumtaja aucho kila post
Huyo midfielder hata kwa fraga tu simuoni sa sembuse chama ambaye muanzisha mada kamfananisha naye?
Utasemaje ana kiwango cha juu bila kulinganisha na wenye viwango ambavyo sio vya juu?Match 3 kwenye ligi yetu uwezo aliouonyesha ni mkubwa,halafu mimi sina ufala wa kufananisha wachezaji nitakuambia uwezo wa mchezaji,aucho ni kiungo wa kiwango cha juu na sikulazimishi amini unachokiamini
Azam tv commentatory,wachambuzi wa soka n.k wanaukubali uwezo wa aucho,hata humu kuna simba wenzio wala awakuungi mkono khs aucho,kwa ubishi huo itakua umepitia mgambo aisee,inavyoonyesha huko kitaani una tuzo ya ubishiUtasemaje ana kiwango cha juu bila kulinganisha na wenye viwango ambavyo sio vya juu?
Unafikiaje conclusion bila kupitia observation?
Huoni kwamba huo ni ufala zaidi?
Ni mara ngapi humu tumekua tukijadili unazi wa hawa wachambuzi na kuwahusisha kua ni chanzo cha kudidimiza soka letu?Azam tv commentatory,wachambuzi wa soka n.k wanaukubali uwezo wa aucho,hata humu kuna simba wenzio wala awakuungi mkono khs aucho,kwa ubishi huo itakua umepitia mgambo aisee,inavyoonyesha huko kitaani una tuzo ya ubishi
Kwani kule AFC lile goli alifunga nani..? unaopewa mfano mkubwa afu unashindwa kuelewaNimekuuliza? Tunaongelea magoli we unaleta mambo ya afc pumbavu
lwanga ana magoli mangapi?
Na aucho wanampa promo kua ni bonge la midfileder ila misimu mitatu kwenye national team hana goal, hana assist hata offtarget, ana kadi moja tu ya njano
Mkude ana Magoli mangapi Taifa Stars?Na aucho wanampa promo kua ni bonge la midfileder ila misimu mitatu kwenye national team hana goal, hana assist hata offtarget, ana kadi moja tu ya njano
Sadio KANOUTE ana magoli mangapi katika timu yake ya Taifa ya Mali?Na aucho wanampa promo kua ni bonge la midfileder ila misimu mitatu kwenye national team hana goal, hana assist hata offtarget, ana kadi moja tu ya njano
Mwaka huu Aucho atawatoa nyongo haki ya Mungu.Hamna Kitu pale kwa Aucho ni Kelele za Manara tu
😂 😂 😂 😂 😂Kuna kijamaa uzi unahusu mengine kenyewe kanalialia aucho aucho umbea kama shoga
Mwaka huu Aucho atawatoa nyongo haki ya Mungu.