hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,629
- 74,033
aisee "Mi najitahidi nipate basic needs za standards.
Ukishaweza ktk hilo, utajiri uko karibuni.
Lkn kama ndo unaishi na madeni na basic needs ni mbovu, utajiri usikiee humu JF.
aisee "Mi najitahidi nipate basic needs za standards.
Ukishaweza ktk hilo, utajiri uko karibuni.
Lkn kama ndo unaishi na madeni na basic needs ni mbovu, utajiri usikiee humu JF.
hahaaa inamaana haukuwa na supervisor " wakukusimamia ili kuweza kujua kama umevisambaza au " la"?? ...hao waajiri wako itakuwa wamerogwaMkuu acha hizo, per day unaweza make up to 120 USD, na wanaposema wanalipa kwa lisali usidhani wanahesabiwa kwa masaa nane ina depend unapiga mchongo gani kuna wanaofanya data entry, wanaoosha vyombo, kuna wanaosafisha masehemu , mfano nakumbuka nje ya kazi yangu ya kuajiliwa nilipata kikazi cha kuwa naenda kusafisha sehem ambapo wanapaki magari, watu walikuwa wanavuta sigara wanaweka vipece vibaya , kazi hii niliifanya kila baada ya kutoka kazin kwangu, na ilikuwa 60 USD per hour nafanya 1 hour dailyPart time job nyingine ilikuwa kusambaza business cards na kila cars 1 ni 0.5 USD, hivo nikisambaza 200 kwa siku nina 100 USD, japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga, hahaha wabongo tumelogwa
exactly mkuukila mtu anawazo yake lakini kwa upande mwingine mtu anapohama sehemu moja kwenda nyingine hukutana na changamoto tofauti na alikotoka na maranyingi hizi changamoto huwa jenga wengi kufikia malengo muhimu kimaisha,nje ya Tz kunachangamoto nyingi sana za kimaisha hasa ulaya na marekani lakini wana wide opportunities za kumuinua mtu regedless elimu aliyo nayo kushinda hapa TZ
daaahh huko patamu mkuu "... hiyo ni nchi gani aisee na mimi nijeMkuu acha hizo, per day unaweza make up to 120 USD, na wanaposema wanalipa kwa lisali usidhani wanahesabiwa kwa masaa nane ina depend unapiga mchongo gani kuna wanaofanya data entry, wanaoosha vyombo, kuna wanaosafisha masehemu , mfano nakumbuka nje ya kazi yangu ya kuajiliwa nilipata kikazi cha kuwa naenda kusafisha sehem ambapo wanapaki magari, watu walikuwa wanavuta sigara wanaweka vipece vibaya , kazi hii niliifanya kila baada ya kutoka kazin kwangu, na ilikuwa 60 USD per hour nafanya 1 hour dailyPart time job nyingine ilikuwa kusambaza business cards na kila cars 1 ni 0.5 USD, hivo nikisambaza 200 kwa siku nina 100 USD, japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga, hahaha wabongo tumelogwa
KusomeaNikisepa jua nimeenda kuchukua MBA
Mkuu nipe joint hata ya somalia me niende huko hapa upande wng hal ngum sanaKuwa ughaibuni sio tiketi ya kutajirika,utajiri unatafutwa haijalishi uko wapi,namfahamu mbongo aliyetajirikia somalia,tena sio somaliland au puntland bali somalia ya mogadishu yenye fujo kila leo,na nawafahamu jamaa tena wakaribu walioko marekani na ulaya ambao kila leo wanatupiga vizinga sie tulio bongo.
Kwahyo watu wanaamua kwenda kuishi ughaibuni kwa sababu mbalimbali sio kutajirika tu,wapo wanaokimbia madeni,wapo wanaokimbia kesi na majanga,wapo wanaotaka kubadilisha mazingira,kutafuta unafuu wa maisha(sio utajiri),wapo wanaokimbia stress za familia na walimwengu etc.Mimi kw upande wangu niliamuaga kuhama bongo kwaajili ya kwenda kubadilisha mazingira na kupunguza stress nilizokuwa nazo wakati huo,sikwenda nikiwa na ndoto za kitajirika.
Mkuu sio mimi ni baba wa rafiki yangu ndie aliyetajirikia huko,inaelekea bado hujaelewa point yangu,nje unaenda kitafuta fursa sio kutajirika,kutajirika ni juhudi binafsi na majaaliwa ya mungu ndio maana hata hapa bongo watu wanatajirika tu pamoja na hali ya hivi sasa kuwa ngumu.Sasa
Mkuu nipe joint hata ya somalia me niende huko hapa upande wng hal ngum sana
Dah umenfanya ncheke ndugu yangu tena kwa sauti tuhadithie kidogo bas mkuuMkuu acha hizo, per day unaweza make up to 120 USD, na wanaposema wanalipa kwa lisali usidhani wanahesabiwa kwa masaa nane ina depend unapiga mchongo gani kuna wanaofanya data entry, wanaoosha vyombo, kuna wanaosafisha masehemu , mfano nakumbuka nje ya kazi yangu ya kuajiliwa nilipata kikazi cha kuwa naenda kusafisha sehem ambapo wanapaki magari, watu walikuwa wanavuta sigara wanaweka vipece vibaya , kazi hii niliifanya kila baada ya kutoka kazin kwangu, na ilikuwa 60 USD per hour nafanya 1 hour dailyPart time job nyingine ilikuwa kusambaza business cards na kila cars 1 ni 0.5 USD, hivo nikisambaza 200 kwa siku nina 100 USD, japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga, hahaha wabongo tumelogwa
Shida moja mkuu, upataji wa hela hiyo hapa Tz ni wa kimagumashi tupu!! Nina Mkinga jirani yangu alinishauri nianze duka la hardwares kama yeye. Alisema linalipa sana. Tukafikia hatua nikitaka anionyeshe cash flow yake na logistics za kodi nk. Duuh, tulianza kuwa maadui kuanzia hapo.. Baadae, nikapata story zake,nilichoka!Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa.
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
KuchukuaaKusomea
Hadithi ya hizo business cards haha unapewa 200 unasogea mita kadhaa unaweka kwenye dustbin Alafu baada ya muda unanda kudai mpunga hahDah umenfanya ncheke ndugu yangu tena kwa sauti tuhadithie kidogo bas mkuu
Hapana wao wanakupa kwa kukuamini , week ya kwanza nilisambaza vizuri lakin ya pili aaa wapi hahahahaaa inamaana haukuwa na supervisor " wakukusimamia ili kuweza kujua kama umevisambaza au " la"?? ...hao waajiri wako itakuwa wamerogwa
Finlanddaaahh huko patamu mkuu "... hiyo ni nchi gani aisee na mimi nije
Kumbuka pia Wazungu hawawezi kukuruhusu urudi nazo pesa zote hizo, watafanya kila njia kuhakikisha zinabaki kwao...Ni masaa 8 mkuu sawa na USD 80 kwa siku, unafanya J3 hadi Ijumaa,unapokea 400usd sawa na 1600usd lakini sio chochote ughaibuni
Ilo ni kama.umeajiriwa katika mfumo rasmi wanahakikikisha umeziacha ukoKumbuka pia Wazungu hawawezi kukuruhusu urudi nazo pesa zote hizo, watafanya kila njia kuhakikisha zinabaki kwao...
Kuchukua kusomea hahaKusomea