KABAKA28
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 211
- 229
Japani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni rahisi sana, kuliko wengi wanavyofikilia.
NB: Kama kazi unayoifanya inakuingizia TZS 5mill kwa mwezi, basi Japan hapakufai, baki huko huko, ila kama below, unaweza ukaja kujaribu bahatinyako huku.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni rahisi sana, kuliko wengi wanavyofikilia.
NB: Kama kazi unayoifanya inakuingizia TZS 5mill kwa mwezi, basi Japan hapakufai, baki huko huko, ila kama below, unaweza ukaja kujaribu bahatinyako huku.