The Billionaire
Member
- Jul 9, 2023
- 19
- 23
Wakuu naona mnahangaika na huduma za vifurushi mimi ni DIRECT SALES AGENT toka tigo. Kuna huduma nimekuwa nikiwapatia wateja wetu Muda mrefu leo acha niwapatie wadau humu mwenye uhitaji ili tuokoe gharama za vifurushi visivyokidhi mahitaji yetu ambavyo tumekuwa tukijiunga kila siku.
Tigo kuna huduma ya vifurushi vya malipo ya baada yaani ( Postpaid ) vifurushi hivi ni nafuu na rahisi kuliko vya kwenye menyu ya kawaida na nimaalumu kwaajili ya kampuni taasisi na wafanyabiashara wanaotumia mawasiliano kwa kiwango kikubwa especial kwenye calls,sms,internet wana vifurushi ya aina mbili.
1) DATA PLAN ( hapa utapewa data pekee)
2) COMBO PLAN (hapa utapata dakk,internet GBs,sms)
NOTE
Ukijiunga na vifurushi hivi tigo itakuwa ikikuingizia kifurushi kila tarehe moja ya kila mwezi nawe utalazimika kulipia kidogo kidogo au kadiri uwezavyo kabla ya mwezi kuisha
ANGALIZO
ukiwa na swali unaweza kuuliza hapa hapa usiropoke/kuongelea kitu usicho kijua ukajipa majibu wewe mwenyewe uliza nitakujibu
MAWASILIANO
kwa maelezo zaidi wasliana nami kupitia namba hiii
+255 710 186 890 WhatsApp/ Normal Call
Wakuu naona mnahangaika na huduma za vifurushi mimi ni DIRECT SALES AGENT toka tigo. Kuna huduma nimekuwa nikiwapatia wateja wetu Muda mrefu leo acha niwapatie wadau humu mwenye uhitaji ili tuokoe gharama za vifurushi visivyokidhi mahitaji yetu ambavyo tumekuwa tukijiunga kila siku.
Tigo kuna huduma ya vifurushi vya malipo ya baada yaani ( Postpaid ) vifurushi hivi ni nafuu na rahisi kuliko vya kwenye menyu ya kawaida na nimaalumu kwaajili ya kampuni taasisi na wafanyabiashara wanaotumia mawasiliano kwa kiwango kikubwa especial kwenye calls,sms,internet wana vifurushi ya aina mbili.
1) DATA PLAN ( hapa utapewa data pekee)
2) COMBO PLAN (hapa utapata dakk,internet GBs,sms)
NOTE
Ukijiunga na vifurushi hivi tigo itakuwa ikikuingizia kifurushi kila tarehe moja ya kila mwezi nawe utalazimika kulipia kidogo kidogo au kadiri uwezavyo kabla ya mwezi kuisha
ANGALIZO
ukiwa na swali unaweza kuuliza hapa hapa usiropoke/kuongelea kitu usicho kijua ukajipa majibu wewe mwenyewe uliza nitakujibu
MAWASILIANO
kwa maelezo zaidi wasliana nami kupitia namba hiii
+255 710 186 890 WhatsApp/ Normal Call